ATM zingekuwa zinakopesha!

ATM zingekuwa zinakopesha!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,768
Reaction score
2,361
Usiku mmoja mlevi ambaye akili ilikuwa bado 50/50 aliona watu wakipiga foleni mbele ya mashine na kubonyeza bonyeza halafu wanapata pesa.
Yeye akijua leo anabahati ya mtende, baada ya kuondoka mtu wa mwisho naye akabonyeza bonyeza wee na mwishowe akaiuliza
"Aisee unaweza kunikopesha elfu hamsini,nitarudisha keshokutwa"

Mashine ATM: kimya

Mlevi: "tafadhali nisaidie bwana, najua pesa unazo, wengine umewapa sasa hivi"

Mashine ATM: kimya

Mlevi: "noma sana wewe jamaa uliye huko ndani"
 
sometimes to get the joke, u have to picture the whole scenerio
Safi sana mkuu...i liked it! Especially the part..."noma sana we jamaa uliye humo ndani"
 
Mashine ATM: kimya

Mlevi: "tafadhali nisaidie bwana, najua pesa unazo, wengine umewapa sasa hivi"

Mashine ATM: kimya

Mlevi: "noma sana wewe jamaa uliye huko ndani"

Jamaa aliyeko ndani mnoko, Hahahahahaaa
 
Back
Top Bottom