Atolewa utumbo kwa kugombania mwanamke

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
747
Jamani huko Songea kuna mambo!

 
Kwa vile wewe uko karibu naye mpe pole sana mwenyezi mungu amuepushe hilo na mengine
 

Masaibu mengine ni magumu kuepuka; hebu fikiria: mzee wa miaka 60 ana mke wa miaka 35, halafu huyu mama huenda hakuwa akitosheka na mzee huyu; akatafuta kijana wa miaka 26.

Wazee wenzangu msikate tamaa hata kama umri umesonga; nzi kufia kidondani siyo dhambi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…