tsh. Tsh 25,000 singo na Tsh. 35,000 dabo.
Ila pako pafinyu sana na siku hizi pana kukurukakara nyingi
nakushauri Landmark sinza, bado ina utulivu ila singo 45,ooo na dabo jiongeze
ila wasikupe floor ya chini vyoo vibovu.
Mkuu inaelekea unafanya safari nyingi za 'kikazi' maeneo hayo.
Ukulima guest house ipo kona bar, bei ni majadiliano
ni kwa shigongo, kwahiyo jiandae kutoka kwenye magazeti yake
ni kwa shigongo, kwahiyo jiandae kutoka kwenye magazeti yake
ukulima guest house ipo kona bar, bei ni majadiliano
he he he he naona wazoefu wanashusha mambo...toeni data jamani