Attention Bodi Ya Mikopo Ya Elimu Ya Juu Kwa Wanafuzi(HESLB)

Msaada wa nini? wa mtu wa kuuliza "tatizo ni nini? Yaani aje Mmarekani mzungu aulize hilo swali? Inawezekana kweli akija mzungu wa kuuliza hilo swali majibu yakapatikana kwa haraka sana....


..habari ndio hiyo!

..ndivyo tulivyo. sadly!
 
Hivi inakuwaje mtu unakubaliwa kusoma IFM/ UDSM/ MZUMBE etc halafu unaacha kumaliza na masomo hapo unakubali kwenda Urusi?
 
..si ni mambo ya mamtoni!

..mtu aking'ang'ania bongo majuu atafika lini?


Kama suala ni kupanda ndege na kwenda ngambo; Hawa wanafunzi sasa inawangarimu sana. Natumai watarudi nyumbani wakiwa bado na moyo wa kutaka kusoma...
 
Kama suala ni kupanda ndege na kwenda ngambo; Hawa wanafunzi sasa inawangarimu sana. Natumai watarudi nyumbani wakiwa bado na moyo wa kutaka kusoma...


..kusoma watasoma tu, iwe hapa au huko. they don't have much choice, do they?
 
..kusoma watasoma tu, iwe hapa au huko. they don't have much choice, do they?


Kusoma kunataka moyo ndugu yangu, ukishanyanyasika kama hivi kukata tamaa ni rahisi sana au kujikuta umeshaanza familia (hata kwa ndoa ya mkeka) kusoma unaweza kukuweka kando bila kujijua.

Muda ni mali sana na hawa wenzetu muda wao wanalazimika kuutua kujibizana na serikali yao. Kaaaaaziiiii
 
..wakati mwingine hujiuliza, hivi hawa viongozi wetu wahusika, hawana watoto wanaosoma?

..maana, chukulia kwamba kibaya kinachomkuta mwana wa mwenzio kimkute na wako. mathalan, kubakwa.
 
..wakati mwingine hujiuliza, hivi hawa viongozi wetu wahusika, hawana watoto wanaosoma?

..maana, chukulia kwamba kibaya kinachomkuta mwana wa mwenzio kimkute na wako. mathalan, kubakwa.


Watoto wao wanasona UK na USA...Urusi wakatafute nini...tena kama hapa UK baadhi yao wakija hawakodishi hata nyumba kama wengine wanafikia nyumba za familia ambazo baba/mama alishainunua miaka ya nyuma.
 



Watoto wao wanasona UK na USA...Urusi wakatafute nini...tena kama hapa UK baadhi yao wakija hawakodishi hata nyumba kama wengine wanafikia nyumba za familia ambazo baba/mama alishainunua miaka ya nyuma.


..kwa mtindo huo hawajui wanawachomea utambi watoto wao. chuki dhidi yao inakuwa kila siku.
 
Hivi inakuwaje mtu unakubaliwa kusoma IFM/ UDSM/ MZUMBE etc halafu unaacha kumaliza na masomo hapo unakubali kwenda Urusi?


yeboyebo na wewew!!! Mtu anaenda kupanda ndege kwa mara ya kwanza unategemea atafanya nini? Unajua wengi wanaamini nje ndio kwenyewe??
mosi, inawaletea heshima kwa familia zao, eti mtoto wa fulani yuko majuu (I really do not get this)
pili, inamjengea sifa binafsi katika rika lake (I will take this considering it takes ages for some to get out of adolesence)
tatu, hiyo ndege, mwe!! ndege jamani??
nne, majuu ndio mambo yote (tokea lini mtu kwao??)
 

So there you have it!!! Miafrika Ndivyo Ilivyo.....
 

Mwezi wa Saba ulifanyika uchaguzi mkuu wa Serikali ya wanafunzi (T.S.U) chuoni Lumumba ambao ulimweka madarakani Rais aliyeandika huu waraka. Baadhi ya watu ambao ni vinara wakubwa wa siasa za TSU hawakufanikiwa kupata nafasi baada ya kuonekana kuwa wanagombea nafasi hizo ili kujitengenezea nafasi ya kuwa karibu na Ubalozi kwa maslahi yao binafsi na pia siyo watendaji wazuri kwani wote walishawahi kushinikizwa kuachia ngazikwa vipindi tofauti kutokana na tabia zao za kujikomba Ubalozini ambayo ilipelekea ufanisi mbovu katika kushughulikia matatizo yanayowakabili wanafunzi (Mojawapo ni hili lililozungumziwa hapa) na pia Uchu wa Madaraka.

Hivyo basi, baada ya vinara hao kushindwa kung'ara katika uchaguzi ule waliamua kuibuka na namna nyingine ya 'Nitoke vipi' kwa kuamua kuanzisha tawi hilo ili kujihakikishia kuwa lengo lao la kuwa karibu na Balozi mpya Bw. Jaka Mwambi ambaye ni kiongozi mkubwa kwenye siasa za CCM linafanikiwa.

Hao jamaa kwa kudhihirisha kuwa ni wanafki na wana uchu zaidi wa kujulikana/madaraka, mwaka jana walikuwa mstari wa mbele kabisa kumpokea Bwana Peter Mziray wa PPT-Maendeleo (ambaye alikuja urusi kwa shughuli binafsi na za kichama pamoja na kutafuta wadhamini) na kuzunguka naye kumsadia kutangaza chama chake kwa wanafunzi watanzania chuoni Lumumba. Kichekesho zaidi ni kuwa hawa jamaa wanamiliki kadi za Uanachama wa PPT-Maendeleo walizopewa na Mziray!

Siyo wanafunzi wote chuoni Lumumba wanaounga mkono kuanzishwa kwa hili Tawi na wale ambao hawafungamani na hilo wazo wanahofia mustakabali wao pale Mambo ya Chama yatakapokuwa yanatumika katika kutatua matatizo yatakayokuwa yanawakabili huko mbeleni.


Mungu Ibariki Tanzania.
 

Oh, boy! Mnataka serikali iwanunulie hadi viatu vya kujikinga na baridi/iwape pesa ya kula kwenye migahawa? C'mon, you wanafunzi! This is no ujamaa, this is individualism. So at some point, you need to come to your sense and realize that we are no longer in sixties. That, we have entered in a totally new era—in which—the destiny of individual (now) depends solely on oneself not on the government.

To paraphrase the Great Milton Friedman, ya need to learn that (in today's world) there is no such thing as free lunch.

Maybe you need to find a part-time job or something, you know...
 
Maybe you need to find a part-time job or something, you know...

Mkuu part time job Urusi du????????? There is high posiibility of getting that in Bongo than there......anyways labda siku hz.
 


Sasa unamaana walianzisha tawi la CCM au la PPT-Maendeleo?
 
Sasa unamaana walianzisha tawi la CCM au la PPT-Maendeleo?

Yaani hao hao wahusika walio mstari wa mbele kufungua Tawi la CCM ndiyo wale wale waliokuwa wanajipendekeza kwa Bw. Mziray pindi alivyokuja Urusi mwaka jana hadi wakapatiwa kadi za Uanachama wa PPT-Maendeleo! Sasa hivi tunawaona tena na wazo lao la kuanzisha tawi la CCM...

Kifupi ni kwamba hawa mabwana ni watu wenye tabia ya U-kigeugeu sana ndiyo maana hawakubaliki tena kwanye siasa za chama cha wanafunzi hivyo kujikita sehemu nyingine ambayo inaweza kukidhi malengo yao ambayo siyo mengine bali kwenda kunywa chai na Mhe. Balozi.
 

Bimkubwa taratibu kidogo......
Kuna vijana wako China wananieleza kuwa hawakuwa radhi kabisa kwenda huko kusoma ila walilazimishwa na wizara husika ili kumantain diplomatic relationship,hao vijana kwa sababu ya hofu ya kukosa vyuo walilazimika kujaribu sehemu nyingi ikiwemo vyuo vyetu kule Tz,sasa kumbe masharti ni kuwa ukichaguliwa China means lazima uende huko bila kujali umechaguliwa sehemu gani.

Kuna ambao walipata UDSM,Mzmbe n.k,wahusika wa scholarships pale wizara ya elimu ya juu wanapitia lists za vyuo vyote,wakikuona tu huko unakuwa deleted na kukupeleka unakostahiki kwa mujibu wa taratibu zao.

Nakumbuka kuna kijana alitamani kulia akiwaomba wambakishe Bongo,lakini akajibiwa anaweza kubaki bila kujiunga na masomo kwa sababu tayari kashafutwa.

Naweza kusema kuna matatizo mengi yanayomfanya mtu aone bora KUBINJUKA out kuliko kuendelea kusoma bongo;kwa mfano
(a)supplementary za ajabu/discontinuation
(b)matokeo si mazuri sana kiasi cha kutokuwa na uhakika wa kutopata chuo/mkopo
(c)kutoeleweka kwa bodi ya mkopo;mara itatoa 60% tu,mara vile.....wabaki mtu wa hali zetu za kimaskini kuyumbayumba.....hivyo kuongeza instabilty katika masomo.
(d)sometimes mazingira ya baaadhi ya courses(kama vile Computer) katika vyuo vyetu hayajatulia,nakumbuka mwaka 2005 vijana wengi sana waliikimbia hii kozi pale mlimani na kwenda India
 
Hawajanikosea kitu...it's just that they are stuck on stupid.....
......Mkuu,not only stupidity.... Uknow Its Easy to deal with someone who's stupid OR somebody who's Ignorant,BUT when the two Factors(Stupidity + Ignorance)are common in a Person, then it's almost impossible to deal With.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…