Hili ni tatizo tena kubwa kabisa haiwezekana mtu huyo mmoja atunge sera, azitekeleze yeye mwenyewe na pia ajihoji mwenyewe ktk kuzitekeleza hizo sera huo ni uroho
mbaya zaidi ktk kila kofia anafungu lake la pesa kwanini asijenge gorofa Uingereza? tena atalipa kodi Uingereza, atanufaisha Uingereza na Uingereza nao wajisifu tunatoa misaada Tanzania?