Atwoli: DP Ruto should behave towards Uhuru like VP of Tanzania does towards JPM


Ni vema Atwol kushuhulika na welfare za wafanyakazi badala ya kuhangaika na Makamu wa Rais wa Kenya au Tanzania! So many well educated people in Kenya are jobless, the Pandemic has rendered millions jobless and yet their leader honorable Atwoli all the time is politicking, talking of Hon Ruto, Ruto, Ruto!! Wafanyakazi hali zao ni mbaya mno, tunasistiza afuate job description yake! Period. Ingekuwa kwa faida kubwa kama angalijitahidi kuunganisha “The Milembe” nation kwani kila kipindi cha chaguzi linakuwa kundi la kusindikiza vyama vingine!
 
Bwanabwana acha utani waliapa kuwatumikia wananchi na si kuacha kutekeleza ahadi zao kama sera za Jubilee zinavyosema na kuanza kujenga team ya campaign aidha ajiuzulu ama atii majukumu yake kama naibu wa Rais! Acha kutetea ujinga unaosababisha paralysis kwenye serikali yao ya Jubilee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…