Au Mo amegoma kutoa hela za Usajili?

Au Mo amegoma kutoa hela za Usajili?

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Kwema?

Nashindwa kuelewa huu Usajili wa timu yangu ya Simba Kwa Sasa. Performance ya timu kwa msimu ulioisha haikua nzuri, na ni ishara kua kulikua na mapengo kadhaa.

Na kawaida mapengo ya timu yoyote huzibwa wakati wa Usajili. Sasa Kwa Usajili huu wa Simba sidhani kama kweli hesabu zao zinaonyesha kulikuaena pengo la mtu kama Kapama au Kyombo. Yaan Kyombo ana tofauti Gani na Kibu Dennis labda?

Inawezekana kabisa kwa kilichotokea msimu ulioisha basi "Boss Kubwa" amesusa kimtindo ndio maana wanachukuliwa average Players kama kutimiza wajibu tu wa kusajili ioneakane nao wamesajili.

Kwa timu inayojiandaa dhidi ya kurudisha mataji yake pamoja na Mechi za kimataifa basi ingekua imefanya Usajili wa maana mpaka Sasa kitu ambacho hakionekani Kwa Simba ya Sasa.

Mtu anaweza kusema dirisha la Usajili bado kufungwa, lakini hata huko wanakopatikana Wachezaji nako watu wanawawahi wale wazuri. Ukichelewa ndo unakuja kuletewa magarasa.
 
Kwema?

Nashindwa kuelewa huu Usajili wa timu yangu ya Simba Kwa Sasa. Performance ya timu kwa msimu ulioisha haikua nzuri, na ni ishara kua kulikua na mapengo kadhaa.

Na kawaida mapengo ya timu yoyote huzibwa wakati wa Usajili. Sasa Kwa Usajili huu wa Simba sidhani kama kweli hesabu zao zinaonyesha kulikuaena pengo la mtu kama Kapama au Kyombo. Yaan Kyombo ana tofauti Gani na Kibu Dennis labda?

Inawezekana kabisa kwa kilichotokea msimu ulioisha basi "Boss Kubwa" amesusa kimtindo ndio maana wanachukuliwa average Players kama kutimiza wajibu tu wa kusajili ioneakane nao wamesajili.

Kwa timu inayojiandaa dhidi ya kurudisha mataji yake pamoja na Mechi za kimataifa basi ingekua imefanya Usajili wa maana mpaka Sasa kitu ambacho hakionekani Kwa Simba ya Sasa.

Mtu anaweza kusema dirisha la Usajili bado kufungwa, lakini hata huko wanakopatikana Wachezaji nako watu wanawawahi wale wazuri. Ukichelewa ndo unakuja kuletewa magarasa.
Usimuamshe alielala, ukimuamsha utalala wewe. (In whispering voice)
 
Msuva kwenye zile bil. 1.6 atatusaidia kidogo kuweza kusajili wachezaji angalau wa maana!
 
Ngoja wapambe nuksi wake waje wakutukane halafu tuone kama utarudia tena kumkosoa mmiliki wa timu.
 
Si tulikubaliana Africa ya sinza itasimama jamani?
Tumeanza na adija kombo bado mwajuma
Kwa kweli Ahnedy ni mpuuzi mkubwa,kuliko kutudanfanya sisi kama wapumbavu eti Africa itasimama,ni bora angekaa kimya tujue tunakufaje kuliko kuwainua wapinzani wetu watuzomee na kinachofanyika
 
Mo wanamsimangwa sana kisa ile 20B sasa anawasikilizia tu...ni kama yupo mguu mmoja ndani mwingine nje...
 
Si tulikubaliana Africa ya sinza itasimama jamani?
Tumeanza na adija kombo bado mwajuma
Hii ni aibu,
Hata Sinza tu (achana na Africa) haiwezi kusimama kwa kumsajili Habib Kyombo. Bado nadhani MO amesusa ila Simba wanashindwa kuweka wazi.
 
Back
Top Bottom