Mr Mhando
Member
- Nov 2, 2018
- 17
- 20
Mlevi na Redio
1
Mlevi kajilaza, chupa mkononi,
Redio inavuma, kwa sauti laini,
Sifa kwa rangi, zinasikika mbali,
Lakini mitaani, shida ni ile ile.
2
Barabara mashimo, taa hazing’ai,
Bei ya chakula, imeshika mbio,
Ajira ni ndoto, vijana wanalia,
Lakini wasema, "Maisha ni bora!"
3
Mlevi kacheka, macho yakimwaga,
"Acheni mchezo, acheni mizaha,
Mmekula vyote, mkabaki na sifa,
Na sisi tunakosa hata ya asubuhi!"
4
Akapiga funda, akafikiri sana,
"Labda tubadili njia na mawazo,
Labda twende mbele kwa mwendo mp
ya,
Au tubadilishe rangi!"
1
Mlevi kajilaza, chupa mkononi,
Redio inavuma, kwa sauti laini,
Sifa kwa rangi, zinasikika mbali,
Lakini mitaani, shida ni ile ile.
2
Barabara mashimo, taa hazing’ai,
Bei ya chakula, imeshika mbio,
Ajira ni ndoto, vijana wanalia,
Lakini wasema, "Maisha ni bora!"
3
Mlevi kacheka, macho yakimwaga,
"Acheni mchezo, acheni mizaha,
Mmekula vyote, mkabaki na sifa,
Na sisi tunakosa hata ya asubuhi!"
4
Akapiga funda, akafikiri sana,
"Labda tubadili njia na mawazo,
Labda twende mbele kwa mwendo mp
ya,
Au tubadilishe rangi!"