ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
TFF Huwa mnataza mpira mkubwa wapi
Yaani kwenye league yetu hakuna kiungo mkabaji mwenye sifa zote kama Aucho
Sawa mmemnyina tuzo hata kwenye majina ya walioshindania tuzo hayumo.
Aucho ni mkabaji, anataka pasi elekezi, ana energy
Bado mnamchukulua poa.
Me naamini mna matatizo binafsi nje ya mpira ndo maana kwenye tuzo hata hamtaki kumtaja
Yaani kwenye league yetu hakuna kiungo mkabaji mwenye sifa zote kama Aucho
Sawa mmemnyina tuzo hata kwenye majina ya walioshindania tuzo hayumo.
Aucho ni mkabaji, anataka pasi elekezi, ana energy
Bado mnamchukulua poa.
Me naamini mna matatizo binafsi nje ya mpira ndo maana kwenye tuzo hata hamtaki kumtaja