Hakika kilicho tokea kwa BM3 sita shangaa kikitokea kwa huyo mgandaHabari kutoka vyanzo vya kuaminika kutoka Uganda zinasema kiungo anayekipiga Yanga huenda akajiunga na Simba dirisha dogo
Pia habari zinaonyesha kuwa mkataba aliosaini kunako clab ya Yanga ni wa kubumba kama aliowahi kufanyiwa Benard Morison
Habari zaidi zinakuja
Cosovo ze Canadian wataisoma nambaHabari kutoka vyanzo vya kuaminika kutoka Uganda zinasema kiungo anayekipiga Yanga huenda akajiunga na Simba dirisha dogo
Pia habari zinaonyesha kuwa mkataba aliosaini kunako clab ya Yanga ni wa kubumba kama aliowahi kufanyiwa Benard Morison
Habari zaidi zinakuja
Hata wew tunakutamani,ni swala la mda tuIla simba mna tamaa sana kila walichonacho Yanga mnakitamani.
Hata wew tunakutamani,ni swala la mda tu
Hii timu ikiona mchezaji mzuri wa yanga wanamtamani. Kwa nn wasitamani wachezaji wa timu zingine kama Esperance, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mazembe n.k wao ni yanga tu. Yana roho mbaya yanataka Yanga ife ili yatawale soka la TzIla simba mna tamaa sana kila walichonacho Yanga mnakitamani.
Shosti pole sana aisee. usagaji dhambi
Shida ya simba ni Aucho au ni striker plus centreback?,amesaini Simba miaka miwili
Haya majamaa ipo siku watu watashikwa na hasira wakinukishe. Hii ni dharau sana kwa yanga. Na yanga wasiposimama kidete wakabadilisha mbinu za uongozi haya majamaa yatawasumbua sana. Kwenye usajili yasajili magarasa yakiona yanga ana wachezaji wazuri yanawataka tena kimafya.Kolo msimu huu mtateseka sana na tabiri uchwara
Usijali shost,mandingo hasagani
Hii timu ikiona mchezaji mzuri wa yanga wanamtamani. Kwa nn wasitamani wachezaji wa timu zingine kama Esperance, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mazembe n.k wao ni yanga tu. Yana roho mbaya yanataka Yanga ife ili yatawale soka la Tz
Hawa jamaa bila umafia hawawezi kubeba ubingwa. Michezo yao michafu ilishagundulika hawana jipya tena. Wanadhani wakiiua Yanga watakua imara zaidi.na walivyo na roho mbaya zaidi wakisikia tetesi za yanga kumfatilia mchezaji wa simba wanapanic vibaya mno.
Ila hawajui tu bila yanga,simba si lolote wala chochote
Hawa jamaa bila umafia hawawezi kubeba ubingwa. Michezo yao michafu ilishagundulika hawana jipya tena. Wanadhani wakiiua Yanga watakua imara zaidi.
Wanahangaika kukiua kikosi kizuri cha yanga cha sasa. Na yanga wasipoacha ile janja janja kwenye mikataba watasumbuliwa sana na kubaki na magarasa.
Hiyo ndo kansa imeitesa yanga kwa miaka mingi. Wapigaji wengi sana.Yanga tatizo ni uongozi tu. Sijui lini tutapata viongozi imara sio hawa wa kusajili hadi msemaji aliyetutusi na kutudhalilisha kila kukicha