Audio:Jerry Muro akiwachana wasaliti vilaza wa Yanga

Kuna jambo ndani ya Yanga ambalo Manji analihofia ndio maana anatumia nguvu nyingi kulizima n kupeleka peleka uchaguzi fasta fasta tena kwa vitisho n mikwara mingi
 
Kuna jambo ndani ya Yanga ambalo Manji analihofia ndio maana anatumia nguvu nyingi kulizima n kupeleka peleka uchaguzi fasta fasta tena kwa vitisho n mikwara mingi
Ni jambo gani hilo?
 
Kuna jambo ndani ya Yanga ambalo Manji analihofia ndio maana anatumia nguvu nyingi kulizima n kupeleka peleka uchaguzi fasta fasta tena kwa vitisho n mikwara mingi
Kwa hiyo haao wanaopanga kinyume na katiba wako safi/sawa? Umesikia Msumii, amekiri, kuwa ni sauti yake. Tuwe, wakweli, pamoja na mapungufu yake Manji,lakini jamaa kaifanyia mengi Yanga. Kzi kila mtu unaiona, hamna wizi wa kijinga jinga tena. Wewe tuabie unataka/mnataka nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…