Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Wakuu tarehe 14 kuna kikao muhimu cha Chama. Dalili zinaonesha kuwa kuna-fouls zinapangwa kuchezwa ili kuwanufaisha baadhi ya watu walioshindwa kwenye kura za maoni, na kuwakwamisha wale wanaojaribu kutumia alternative ways za kutibitisha kuwa wao ndio wenye stahili.
Kubwa zaidi ni kuwa kura za maoni Zanzibar zimefanyika, na marekebisho ya katiba ni kama yametandika njia ya Zanzibar kujitoa kwenye jamhuri ya Muungano.
Nina mashaka sana na uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa watakokuwa kwenye kikao. Kwa kuwa sauti zinazosikika kabla ya kikao ni kuwa kuna baadhi wanataka kutumia weakness ya chama kutembeza ajenda zao na kufanikiwa, na wengine wanataka kutumia weakness hizo kustrengthen defence kutokana na hatari yao kisiasa na hata kwenye mkono wa sheria.
Kuna mawili yanaweza kutokea, inaweza ikawa ndio end of era ya umoja wa watanzania, Yaani barabara ya kuvunja muungano itasafishwa, na misingi Muhimu iliyowekwa na TANU na ASP ikawekewa mabomu. Tarehe 14 si mbali. Awamu ya nne is about toredifine Tanzania.
Kubwa zaidi ni kuwa kura za maoni Zanzibar zimefanyika, na marekebisho ya katiba ni kama yametandika njia ya Zanzibar kujitoa kwenye jamhuri ya Muungano.
Nina mashaka sana na uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa watakokuwa kwenye kikao. Kwa kuwa sauti zinazosikika kabla ya kikao ni kuwa kuna baadhi wanataka kutumia weakness ya chama kutembeza ajenda zao na kufanikiwa, na wengine wanataka kutumia weakness hizo kustrengthen defence kutokana na hatari yao kisiasa na hata kwenye mkono wa sheria.
Kuna mawili yanaweza kutokea, inaweza ikawa ndio end of era ya umoja wa watanzania, Yaani barabara ya kuvunja muungano itasafishwa, na misingi Muhimu iliyowekwa na TANU na ASP ikawekewa mabomu. Tarehe 14 si mbali. Awamu ya nne is about toredifine Tanzania.