TANZIA Augustino Mrema, Mwenyekiti wa chama cha TLP afariki dunia

Hee ndo naona na hivyo niko sfrn. R.I.P mzee
 
CCM kuiba kura na kupora chaguzi hawajaanza leo👇😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Dah! R.I.P mzee wetu jembe letu mzee uliyegoma kurudi ulipotoka mpaka umauti unakufika uligoma kabisa kuvaa kijani pumzika kwa amani na asante kuchangamsha siasa ya Tz

Sema mze yule mama uliyemuoa basi tu ukutumia viagra kweli mzee wetu maana hawa wamama wa mjini hawa
 
Ila gazeti la UHURU la zamani lilikuwa kweli gazeti la UHURU. Naanza kuamini kuwa ni kweli Tanzania inarudi nyuma kisiasa! Huyu UHURU WA 95 akikutana na kijarida cha leo cha Lumumba atakitandika bakora mpaka kitote
 
huyu si aliowa dada wa mdogo tu hivi karibuni tu?
wadada wanapiga hesabu kali sana,unashangaa kwanini wanawakataa wazee wasio na hela ila wenye pesa wanawashawishi mpaka wanawaoa,unakuta mdada keshajua zimebaki kilomita ngapi!
 
Apumzike kwa AMANI
 
ndio alichokua anakitafuta !

mimi nakumbuka nilipoona mitandaoni ooh mzee anaoa binti mdogo nikasema Mzee hutachukua round maana mikiki mikiki hutaiweza.

si unaona sasa ?

we tangulia mzee na sisi tunakuja
Siyo kweli
 
Mbona alisharudi siku nyingi tu? Au umesahau Mrema aliongoza Kamati kuu ya TLP na kumteuwa Magufuli kuwa mgombea wao Urais? Au huwq hamfuatilii mambo?
 
Alioa Kwa sababu ya mtu wa karibu wa kumtunza lakini si Kwa sababu za kingono, alikuwa tayari ni mgonjwa.
Hayo tunasemaga tu, aone kitu kinatingishika asikibanjue thubutu, haya ni madhaifu yetu wanaume! Ukipandishwa morale huwa hakuna namna.
 
RIP Mzee Mrema. Msalimie Ben Mkapa huko mbinguni na msamehe kwa kukuibia kura mwaka 1995
Ila nyie watu bhana!

Mtu unaambiwa kabisa alikuwa mwalimu wa chuo cha usalama wa taifa, bado tu hustuki kama alikuwa mpango maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…