Aunt Ezekiel afunguka kuhusu nyumba ya kupanga

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu nyumba ya kupanga

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
18809011_429242030767775_2002670699537235968_n-e1497887377104.jpg


Baada ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi wanaongea bila kujua undani wa maisha yake.

Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.

“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.


Muungwana
 
Kuwa staa Bongo kumbe sio ishu kama kujenga nalo tatizo mbona walimu wa shule za misingi wana mijengo na wanaendesha magari manene
 
wenye nazo wengi wanahusudu kupanga kuliko kuishi kwenye mijengo yao.....wahindi ni mfano mdogo tu
 
Muvi gani anacheza huyu. Si huyu alipelekwa Dubai kweli, sikumbuki vizuri
 
Back
Top Bottom