Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,304 Apr 14, 2014 #1 Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel pichani. Akifafanua kauli yake mbele ya kinasa sauti chetu, Aunt alisema watu wengi wamekuwa wakimtaka avae kistaarabu kwa kuwa ni mke wa mtu."Waniache bwana, sijakataa kama mimi ni mke wa mtu lakini pia nipewe uhuru kwani najitambua," alisema.
Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel pichani. Akifafanua kauli yake mbele ya kinasa sauti chetu, Aunt alisema watu wengi wamekuwa wakimtaka avae kistaarabu kwa kuwa ni mke wa mtu."Waniache bwana, sijakataa kama mimi ni mke wa mtu lakini pia nipewe uhuru kwani najitambua," alisema.
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 Apr 14, 2014 #2 Mke wa wema sepetu aka mbeba mapochii...anaona raha kuendesha gar la wema
Dr.Mo JF-Expert Member Joined Mar 28, 2012 Posts 3,809 Reaction score 1,649 Apr 14, 2014 #3 Ndo mademu wengi wa kibongo.. Ndoa anataka usistadu anataka
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,304 Apr 14, 2014 Thread starter #4 Dr.Mo said: Ndo mademu wengi wa kibongo.. Ndoa anataka usistadu anataka Click to expand... Nashangaa watu wanaowaoa hawa
Dr.Mo said: Ndo mademu wengi wa kibongo.. Ndoa anataka usistadu anataka Click to expand... Nashangaa watu wanaowaoa hawa
M MtiMawazo JF-Expert Member Joined Mar 4, 2014 Posts 822 Reaction score 328 Apr 14, 2014 #5 Wife materialess
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Apr 14, 2014 #8 Bora asingeolewa kwanza aendelee endelee kuonesha huo anaouita upaja mi naona ni tupaja....