Aunt Ezekiel heshimu wakubwa, kuna maisha baada ya uchaguzi

gps boy

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2015
Posts
447
Reaction score
65
Dada Aunti Ezekiel,

Jaribu kuangalia mbele, heshimu wakubwa, Mh. Lowassa ni zaidi ya Baba yako, hustahili hata chembe kumtukana binti. Kumbuka hayo matusi hayana muda mrefu, mwisho wake ni tarehe 25/10/2015, lakini maisha yataendelea.

Kumbuka CCM inakutumia, matatizo yatakuwa yako binafsi na mjane mama yako.

UKAWA tunakutakia kila la heri katika kumtukana Mh. Lowassa ila MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI.
 

Msimlaumu! Anaota ya kuwa nyalandu atakuwa rais!
 
alafu huyo changuo sio mwanasiasa kwann hamsambulie Lowassa? angekuwa ni mwanasiasa fine...lakini yeye sio mwanasiasa
 
Huyo dada hana adabu kabisa, hebu wekeni picha yake watu wamuone alivyo mpumbuvu
 
Mama yake alifariki kwa Mwalikanga (greed) kalelewa na bibi yake ndio maana hana adabu hata robo!
 
me naogopa tu hata kucomment maana baada ya uchaguzi tutasikia mengi..
 

Ushauri huo unaweza kumpa mtu mwenye adabu. Mtu mwenyewe hana adabu wala heshima anawezaje kuheshimu watu?
 

Kasema nini tena
 
mtaja shangaa atakuja kuwa kiongozi na uwelewa wake mdogo huo huo
 
Basi atakuwa mentally unfit.. si Kuna clip fulani nesikia akimtukana NAPE? kaja tena kwa LOWASSA?
 
wengine wakitukanwa ni sawa ila akiwa huyo aheshimiwe, huu ubinafsi wa wana ukiwa sijui utatufikisha wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…