Aunt ezekiel kapigwa stop movie za bongo

Si atauza sura tu jamani kwani yeye ni mcheza filamu kwangu mimi huyo hachezi filamu ili anauza sura kupitia filamu na kwa kuwa maarufu kwa kuuza sura basi haina neno sio lazima auze sura kwenye filamu
 
Si kila mtu anauwezo wa kuigiza. Ni kipaji. So kwa wale wanaotokea kufanya vizuri si mbaya tukawapa sifa zao. Aunty ezekiel is great!! Hao waliompiga stop ni roho mbaya tu..
 
njoo ufanyiwe maombi! Sio ww ni pepo!
 
Crap crap crap.....kuanzia hao bongo movie wasanii na maproducer wote uharo tu....
 
Hii habari lol labda waliomba rushwa ya ngono wakanyimwa ...maana wabongo bana
 
Wasanii wengi wa movie hawana nidhamu, sio wanawake wala wanaume!! Uwozo mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…