Aunt Ezekiel kuvaa hivi mbele ya mtoto mdogo ni ujanja ama ushamba?

mm sioni kuna ubaya wowote
mtu anatangaza uzuri wake wengine miWIVU imewajaa
kabla ya ustaarabu wa enzi za pili tulivaa majani na kula matunda leo mmeletewa nguo basi MNAWATUKANA WENZENU
 
omba Mungu akupe uhai" utaelewa maneno yangu yalikuwa namaana. ipi
Hata kama huyo mtoto atakuja na mambo ya ajabu ukubwani haihalalishi kumwita malaya sasa, mtoto asiyejua chochote.
 
Inasikitisha sana na kutia huruma!
Mmomonyoko wa maadili at its worst [emoji108]
Halafu laiti wangalijua jinsi wanavyojizalilisha?!
Wasingalienenda namna hiyo!
Hata Kama ni mabwana watapata wale wa hit n run tena ambao nao ni wahuni wenzao!
 
Aahh...

Jamani Mtoto kawakosea nini huyo.

Mnamlaani kabisa!!!
 
Binafsi sioni kama kuna tatizo maana anatusaidia kutengeneza vicheche wa siku za baadae. Dunia hii bila vischana vihuni vihuni haitaenda kabisaaa, magazeti ya shigongo yataandika nini????
sote hatuwezi kufanana
Aisee..
 
Mwanaume anayejielewa Mwenye maono hawezi beba Gubeli /pachanga !
Imeandikwa " pasipo maono watu hushindwa kujizuia"
Kinyume chake Mtu Mwenye maono (Vision) anaweza kujizuia asiangamie ili aifikie hatima Yake njema ambao Mungu amemkusudia hapa duniani na baadae!
 
Njia mojawapo ya kumtambua Kahaba ni pamoja na mavazi Yake na muonekano wake Kwa ujumla !
Huwa nashangaa badala ya kuwadharau wanawake waenda uchi eti mwanaume mwingine ndo anachanganyikiwa na udenda kutaka kumtoka!
Yani unachanganyikiwa na mwanamke ambae ni cha wote [emoji87][emoji87]
Wazazi tuwalee watoto ktk maadili mema ya asili ya kiafrika hususa kitz
 
Siku hizi ukienda Kwenye maharusi ambako kuna watu wa rika na jinsia tofauti lakini wanawake wanatia ukauzu Kwa kivaa robo tatu uchi !
Makanisani pia halikadhalika [emoji87][emoji87]
 
huo ni utumwa, wazungu na watanzania ni jamii mbili tofauti. mbona wao hawatuigi tamaduni zetu? Sasa kukaa nusu utupu ndo kuleta maendeleo?
 
huo ni utumwa, wazungu na watanzania ni jamii mbili tofauti. mbona wao hawatuigi tamaduni zetu? Sasa kukaa nusu utupu ndo kuleta maendeleo?

unajua mavazi ya tamaduni zetu tunavovaa kiasili,, mwanamke anajificha papuchi tu,,, sisi utamaduni wetu tunavaa uchi kushinda wazungu

hizi nguo katuleteta mzungu na tumemuiga tu.. sio utamaduni wetu
 
Akivaa kim na north shangwe.

Je wale wa hadzabe wanaishi vipi na watoto zao
 
Huyu mtoto tabia zake zikija kuchange huko mbele. Asimtafute mchawi
 
Maguu yenye meusiiiii kama marehemu bibi anguu!!
 
Hata ukimficha mama akikua atajifunza chuoni, shileni nk.

Mmnh!
Mwalimu wa kwanza kabisa huku duniani ni mzazi /Mlezi !
Mzazi au Mlezi ananafasi kubwa ktk kumjenga au kumbomoa mtoto zidi ya tabia njema/mbaya !
Kama mzazi unapaswa kufanya sehemu yako Kwa usahihi wote ktk kuhakikisha mtoto anakuwa ktk maadili mema !
Imeandikwa " mlee mtoto ktk njia ipasavyo naye haitaicha Hata ajapokuwa Mtu mzima"
Hiyo Ndiyo kanuni ya Kibiblia !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…