Aunt Ezekiel!

Hata hao viongozi wenu mnaodhani wana mchango katika ujenzi wa taifa hili ni wezi tu! Ndio ndio wanaaongoza kwa kulibomoa taifa!

in the name of 'wapiganaji'....malabuku!!! wanapigania matumbo yao
 


avator yako mamamia Mhh! kasheshe kama ya magazeti ya Shigongo
 
jamani watu kama hawa wanaojiita ma-star ni ujinga tuu. wanafanya vitu vya ajabu wakidhani wataungwa mkono kozi wao ni ma-star kumbe hakuna lolote. ULIMBUKENI. haya wanaishia wapi?
 
mastaa wa bongo ni matatizo tupu ila wanapenda sana kuwekwa front page za magazeti na vituko vyao wakidhani sifa kumbe ulimbukeni tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…