bht JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 10,336 Reaction score 1,873 Nov 17, 2009 #21 Masaki said: Hata hao viongozi wenu mnaodhani wana mchango katika ujenzi wa taifa hili ni wezi tu! Ndio ndio wanaaongoza kwa kulibomoa taifa! Click to expand... in the name of 'wapiganaji'....malabuku!!! wanapigania matumbo yao
Masaki said: Hata hao viongozi wenu mnaodhani wana mchango katika ujenzi wa taifa hili ni wezi tu! Ndio ndio wanaaongoza kwa kulibomoa taifa! Click to expand... in the name of 'wapiganaji'....malabuku!!! wanapigania matumbo yao
Jerome Senior Member Joined Sep 9, 2009 Posts 144 Reaction score 10 Nov 18, 2009 #22 avator yako mamamia Mhh! kasheshe kama ya magazeti ya Shigongo
J jikis Member Joined Aug 8, 2009 Posts 18 Reaction score 2 Nov 20, 2009 #23 jamani watu kama hawa wanaojiita ma-star ni ujinga tuu. wanafanya vitu vya ajabu wakidhani wataungwa mkono kozi wao ni ma-star kumbe hakuna lolote. ULIMBUKENI. haya wanaishia wapi?
jamani watu kama hawa wanaojiita ma-star ni ujinga tuu. wanafanya vitu vya ajabu wakidhani wataungwa mkono kozi wao ni ma-star kumbe hakuna lolote. ULIMBUKENI. haya wanaishia wapi?
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,947 Reaction score 4,470 Nov 20, 2009 #24 Limbani said: Bwana wake Jack Pemba naye yupo wapi siku hizi? Click to expand... Dah amechoka balaa yupo Tabata huko.
Limbani said: Bwana wake Jack Pemba naye yupo wapi siku hizi? Click to expand... Dah amechoka balaa yupo Tabata huko.
eRRy JF-Expert Member Joined Jun 12, 2009 Posts 1,126 Reaction score 206 Nov 20, 2009 Thread starter #25
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Nov 20, 2009 #26 mastaa wa bongo ni matatizo tupu ila wanapenda sana kuwekwa front page za magazeti na vituko vyao wakidhani sifa kumbe ulimbukeni tupu
mastaa wa bongo ni matatizo tupu ila wanapenda sana kuwekwa front page za magazeti na vituko vyao wakidhani sifa kumbe ulimbukeni tupu
O OgwaluMapesa JF-Expert Member Joined May 24, 2008 Posts 10,942 Reaction score 434 Nov 25, 2009 #27 lakini tuache utani huyu demu ni bomba sana
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Nov 25, 2009 #28 Agwambo said: lakini tuache utani huyu demu ni bomba sana Click to expand... kwa macho yako na mtizamo
Agwambo said: lakini tuache utani huyu demu ni bomba sana Click to expand... kwa macho yako na mtizamo