Aunt Sadaka Gandhi

Daah yaani anazingua wewe??? Klauz kwenda kusema ukweri daah .....mm nipo Mwanza !! Ningepata namba zake ingekua poa sanaa nimuendee hewani tu

Hahahaha sikiza una internet jaribu labda facebook
kuandika jina yake inaweza kuja page yake
ama otherwise kuna poqerbreakfast unaweza mpata,
Ama ngoja watu waamke mi mwenyewe nataka lala kesho kibaruani...
Kuwa mpole ndoa ndo ziliVyo.....
 
Hahahaha sikiza una internet jaribu labda facebook
kuandika jina yake inaweza kuja page yake
ama otherwise kuna poqerbreakfast unaweza mpata,
Ama ngoja watu waamke mi mwenyewe nataka lala kesho kibaruani...
Kuwa mpole ndoa ndo ziliVyo.....

Mitandao yote ya kijamii nimemtafuta nimemkosa ....humu najua lazima kuna mtu atakua nayo tuu , nisaidieni jamaniiii 😪
 

Nataman humu ndan tungekuwa weng wenye mitazamo chanya km hii, good point mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…