Aunty Ezekiel ajifungua

Jamii forum sasa inataka kugeuzwa gazeti la udaku. Kwa uchafu ufanywao na huyu dada hakufaa hata kuletwa humu kwa taarifa kama hii.
 
Jamii forum sasa inataka kugeuzwa gazeti la udaku. Kwa uchafu ufanywao na huyu dada hakufaa hata kuletwa humu kwa taarifa kama hii.

Hata wewe????this is celebrities forum: mazuri na vimbwanga vya mastaa unata paandikwe nini?? hata ana tabia gani ndo staa huyo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…