Aunty Ezekiel Amtaka Tunda Amlipe pesa zake za pombe

Aunty Ezekiel Amtaka Tunda Amlipe pesa zake za pombe

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Eeh!! Makubwa , aunty Ezekiel ammwagia cheche Bosslady tunda kupitia ukurasa wake wa instagram akimtaka msanii huyo amlipe pesa zake za pombe ..

Tunda na show off zote insta kumbe anakopa mpaka pombe tena kwa aunty ezekiel khaa Kweli mjin pagumu

Screenshot from 2018-01-31 11-39-48.png


Tunda amejibu madai hayo kwa kusema pesa alimpa Mose Iyobo

 
Mwanamke anapomtukana mwanamke mwenzie k.uma ndio unajua kabisa wanawake wenyewe hawathamini kiungo chao muhim.

Kwamba k.uma ni kitu cha hovyo sana? Unakuta mwanamke akitaka kumkashfu mwanaume anamwambia ana mambo ya kike, maana yake ana mambo ya hovyo hovyo. Wanawake wenyewe hawajikubali na wanajiona kua ni watu wa hovyo.

Hatari sana.
 
Eeh!! Makubwa , aunty Ezekiel ammwagia cheche Bosslady tunda kupitia ukurasa wake wa instagram akimtaka msanii huyo amlipe pesa zake za pombe ..

Tunda na show off zote insta kumbe anakopa mpaka pombe tena kwa aunty ezekiel khaa Kweli mjin pagumu
kwani kila ukionacho mtu akifanya au akila unafikiri pesa zake fuatilia utaelewa, wenye pesa wachache wengine ni kupewa tu
 
Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
 
Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
Zari la mentali,
 
Wala sikushughulika naye bcoz she is not my class. Tulikua wengi binti alitorokwa hotel. Naamini ni Malipo ya laana na dhambi za babake. Askari sabasita alinyanyasa na kuonea watu sana! Hiki ndicho anakilipia.
Dah,mkuu you are very kind,,,watu kama ww mpo wachache mno sikuizi,,to be honest ningekua mimi ningetaka something in return
 
Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
I see. Ila sema sometimes unakuta bili zao zinaenda mpaka laki 4 kwa jioni moja, mpaka unajiuliza kama alikuwa na COMMITTEE ama alikuwa mwenyewe
 
Mi nilivyoona Pombe nikafungua haraka haraka nilidhani ni Magufuli, kumbe bia? Kama hana hela za bia tunamkaribisha kwenye chama chetu cha Gongo, jero tu unatoa lecture kama professor wa University.
 
Back
Top Bottom