Lamprophony
Lamprophony
Hicho kinyaa peke yenu. Mimi binafsi ninajivunia kuwa tuna mabinti kama hawa. Sitoshangaa kukutakuwa anajilinda kuliko hao wanaojifunika!
Amandla........
Don't blame her bana , biashara matangazo nani asiye jua wanajiuza sana tu wala si ghali kihivyo.
yeye atapata stout,,,,badala ya katautiMengi yaliyosemwa humu ndio yanaonesha jilasi za wabongo,waacheni watoto wa watu wajinafasi,kuwaoa hamtaki kazi kuwasema kila kukicha,Hamtaki tupate Katauti mwingine toka pande zile?Yule wa kwanza si katokea hukohuko?