Aunty Ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi Kigali-Rwanda

watu wa zamani inaonekana walikuwa hawafaidi kabisa... hii ndo ilikuwa picha ya nusu utupu enzi hizo! hahahaaah!
kweli maisha yanaenda kasi sana
🤣🤣🤣watu WA zamani hahaha sasa uchi uko wap apo duu kwel Dunia inaenda kasi sana
 
Halafu huyu Pdidy sijui kafa! Maana haonekani humu kabisa siku hizi. Nakumbuka alikuwa na style yake ya uandishi lazima ucheke.
 
Haka kadada kangekuwa kawazi basi kuwa kauza kuanzia shilingi ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…