Australia kuitambua Palestina kama taifa huru

Australia kuitambua Palestina kama taifa huru

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Pigo jingine kwa Benjamin Natenyahu; ushindi mwingine kwa wapalestina na HAMAS.

IMG_20240409_170710.jpg


2. Wapigania katiba wa kwetu hawatambui haki hupiganiwa kwa jasho na damu ikibidi. Wamekaa kitako, kuilaumu CCM.

3. Viva HAMAS, viva Palestina; mlidhamiria na kwa hakika ushindi unanukia sasa kuliko wakati mwingine wowote:

IMG_20240409_170812.jpg


4. Kwamba gharama ya kufikia hapa haikuwa ya kitoto, si kwenu tu; kwetu zilikuwapo Maji maji, Mau mau na kwingi kwingine dhidi ya madhwalimu matumizi ya nguvu hatimaye ilikuwa ndiyo njia pekee.

CheHigh.jpg


5. Kwamba mko hapa leo, kama Che, kwenye kupigania haki yenu, kwa hakika mmewakilisha.
---
Australia suggests it could recognise Palestinian state
Australia suggests it could recognise Palestinian state

Australia's foreign minister has hinted that Canberra could recognise a Palestinian state, following suit of other countries like Spain.

Wong said that recognising a state of Palestine could restart the moribund Middle East peace process [Getty]

Australia on Tuesday became the latest country to advocate formal recognition of a Palestinian state, further shattering a long-standing diplomatic taboo in the West.

Foreign Minister Penny Wong said that recognising a state of Palestine could restart the moribund Middle East peace process and undermine extremist forces in the Middle East.

"Recognising a Palestinian state - one that can only exist side by side with a secure Israel - doesn't just offer the Palestinian people an opportunity to realise their aspirations," she told an audience in Canberra.

"It also strengthens the forces for peace, and undermines extremism. It undermines Hamas, Iran and Iran's other destructive proxies in the region."

For decades, the formal recognition of a Palestinian state has been seen as the endgame of a peace process between Palestinians and their Israeli neighbours.

The United States, Australia and most Western European nations have said they are willing to one day recognise Palestinian statehood, but not before agreement on thorny issues like the status of Jerusalem and final borders are agreed.

With war raging, Hamas in control of Gaza and Benjamin Netanyahu's right-wing government installed in Israel, the prospects of a peace process have rarely looked dimmer.

But after Hamas' October 7 attacks and Israel's unprecedented offensive on Gaza, diplomats are reconsidering once-contentious ideas.

"The failures of this approach by all parties over decades - as well as the Netanyahu Government's refusal to even engage on the question of a Palestinian state - have caused widespread frustration," Wong said.

"So the international community is now considering the question of Palestinian statehood as a way of building momentum towards a two-state solution," she added.

Her comments come after the United Kingdom, Ireland, Malta, Slovenia and Spain have floated the idea of recognising a Palestinian state.

In 2014, Sweden, which has a large Palestinian community, became the first EU member in western Europe to recognise a Palestinian state.

A state of Palestine had earlier been recognised by six other European countries: Bulgaria, Cyprus, the Czech Republic, Hungary, Poland and Romania.
 
Mkuu umekielewa kiinglish kilichoandikwa?

1. Mkuu kwani wewe ni hawa?

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

2. Kama ndivyo hauko peke yako.

3. Na wewe pamoja nao niliwaona huku:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
 
1. Mkuu kwani wewe ni hawa?

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

2. Kama ndivyo hauko peke yako.

3. Na wewe pamoja nao niliwaona huku:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
Dogo labda nikwambie kuitambua sehemu yoyote kama "state" hakuiondolei chochote katika masaibu waliyonao. Mfano, Sahara Magharibi inatambuliwa kama "state" na nchi zote wanachama wa AU. Je, Sahara Magharibi imenufaika vipi?
 
Dogo labda nikwambie kuitambua sehemu yoyote kama "state" hakuiondolei chochote katika masaibu waliyonao. Mfano, Sahara Magharibi inatambuliwa kama "state" na nchi zote wanachama wa AU. Je, Sahara Magharibi imenufaika vipi?

Tumalize Moja Moja kwanza mtoto wa shule mjuaji wee! Wewe ni mmoja katika rundo Hilo la Wajuaji?

Kwako kutambuliwa unataka maslahi? Maokoto siyo? Au unataka ruzuku?
 
Tumalize Moja Moja kwanza mtoto wa shule mjuaji wee! Wewe ni mmoja katika rundo Hilo la Wajuaji?

Kwako kutambuliwa unataka maslahi? Maokoto siyo? Au unataka ruzuku?
Katika kujenga hoja unatakiwa utumie premises tofauti. Hata mahakamani ipo hivyo though mimi sio "learned brother".
 
Katika kujenga hoja unatakiwa utumie premises tofauti. Hata mahakamani ipo hivyo though mimi sio "learned brother".

1. Umeisoma mada lakini? Au umeirukia tu?

2. Jikite kwenye mada acha ujuaji.

3. Angalizo si ajabu kujifanya wajua kuliko wajuzi kukuzidi wewe hata zaidi ya x 10.

4. Mwamba mmoja Championship anathibitisha hilo kwenye Uzi huu:

TANZIA - Profesa Henry Mgombelo wa UDSM afariki dunia

5. Kwamba alimkuta nguli akipost comment JF, kama si kuandika uzi. Wewe uliijua ID yake ndugu mkufunzi?

6. Acha ujuaji kwani hata lipi unalolijua uliweke hapa tulione?
 
1. Umeisoma mada lakini? Au umeirukia tu?

2. Jikite kwenye mada acha ujuaji.

3. Angalizo si ajabu kujifanya wajua kuliko wajuzi kuliko wewe hata zaidi ya x 10.

4. Mwamba mmoja Championship anathibitisha hilo kwenye Uzi huu:

TANZIA - Profesa Henry Mgombelo wa UDSM afariki dunia

5. Kwamba alimkuta nguli akipost comment JF, kama si kuandika uzi. Wewe uliijua I'D yake ndugu mkufunzi?

6. Acha ujuaji kwani hata lipi unalolijua uliweke hapa tulione?
Dogo kwenye platform kama hii kuna watu with diversities of ideas. Usiwalazimishe wawe na mawazo kama yako.
 
Dogo kwenye platform kama hii kuna watu with diversities of ideas. Usiwalazimishe wawe na mawazo kama yako.

1. Miye siyo mdogo wako; kuniita dogo ni upuuzi; kawaite hivyo wadogo zako!

2. Wapi nimekulazimisha au nani nini?

3. Nilidhani umekuja na Ile ID ya yule Prof Nguli kwamba wajumbe wote unawajua, kumbe unaongelea diversity ipi?

4. Si kuwa ambao diversity haina maana yoyote kwenu ndiyo mko humu?

"Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao."
 
1. Pigo jingine kwa Benjamin Natenyahu; ushindi mwingine kwa wapalestina na HAMAS.

View attachment 2958801

2. Wapigania katiba wa kwetu hawatambui haki hupiganiwa kwa jasho na damu ikibidi. Wamekaa kitako, kuilaumu CCM.

3. Viva HAMAS, viva Palestina; mlidhamiria na kwa hakika ushindi unanukia sasa kuliko wakati mwingine wowote:

View attachment 2958832

4. Kwamba gharama ya kufikia hapa haikuwa ya kitoto, si kwenu tu; kwetu zilikuwapo Maji maji, Mau mau na kwingi kwingine dhidi ya madhwalimu matumizi ya nguvu hatimaye ilikuwa ndiyo njia pekee.

View attachment 2958833

5. Kwamba mko hapa leo, kama Che, kwenye kupigania haki yenu, kwa hakika mmewakilisha.
Wafilisti wamewahi kupata kibali cha mbingu katika kumiki nchi ya Israeli!? Kumbuka unazungumzia eneo la Kaanani, nchi ya ahadi kwa wana wa Israeli, nchi iliyojaa maziwa na asali

Kama uiamini ahadi hii basi hiyo ni kwa ajili ya hasara yako wewe mwenyewe. Kipimo cha hasara ya kupotea kwako mbele ya mamlaka ya mbingu, ni sawa kabisa na hasara ya kumpoteza sisimizi mmoja kwa kumkanyaga kwa bahati mbaya, bila ya hata wewe kung'amua kifo chake.
 
Wafilisti wamewahi kupata kibali cha mbingu katika kumiki nchi ya Israeli!? Kumbuka unazungumzia eneo la Kaanani, nchi ya ahadi kwa wana wa Israeli, nchi iliyojaa maziwa na asali

Kama uiamini ahadi hii basi hiyo ni kwa ajili ya hasara yako wewe mwenyewe. Kipimo cha hasara ya kupotea kwako mbele ya mamlaka ya mbingu, ni sawa kabisa na hasara ya kumpoteza sisimizi mmoja kwa kumkanyaga kwa bahati mbaya, bila ya hata wewe kung'amua kifo chake.

1. Kulikuwa na makundi yenu pendwa hapa:

'e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.'

2. Maswahiba wote wametulizana humu:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. Vipi ndugu, huwezi kujiona mlengwa humo?
 
The United States, Australia and most Western European nations have said they are willing to one day recognise Palestinian statehood, but not before agreement on thorny issues like the status of Jerusalem and final borders are agreed.
Mtoa mada uliandika ukiwa umevimbirwa bila shaka
 
1. Kulikuwa na makundi yenu pendwa hapa:

'e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.'

2. Maswahiba wote wametulizana humu:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. Vipi ndugu, huwezi kujiona mlengwa humo?
Mkuu mimi sioni haya ya kujitangaza kama ni mpenda kile ambacho naamini ni ukweli kwa jinsi ambavyo nimefunuliwa hivyo. Natambua kwa kadiri Mungu aishivyo alikusudia mimi niwe hivi jinsi ambavyo nivyo.

Natambua kuwa wateule wake amewatambua wote toka kuwekwa kwa misingi ya dunia. Kwa hiyo kila mtu ameiitiwa kwa wito wake mwenyewe, na ni lazima tutofautiane kimtazamo.

Nimechangia hoja yako kwa mtazamo wangu wa kiimani, nawe pia hubanwi kuona mantiki yoyote ile ndani ya maudhui yake. Ni vyema ukakipuuzia kile nilichokichangia kama unaridhika kuwa hakina maana.
 
Back
Top Bottom