Austria: Atekeleza tukio la mauaji huku akipiga kelele za "Allahu Akbar", alikuwa akitabasamu alipokamatwa na polisi

Austria: Atekeleza tukio la mauaji huku akipiga kelele za "Allahu Akbar", alikuwa akitabasamu alipokamatwa na polisi

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Mi nataka tu kujua ni Mungu yupi huyo wa kweli anaewatuma watu kwenda kuua watu wengine kinyama.

Unaweza kudhania huyu mtu ana tatizo la akili ila ni mhanga wa ITIKADA ZA KITAPELI
Screenshot_20250216-104119.png
 
Mi nataka tu kujua ni Mungu yupi huyo wa kweli anaewatuma watu kwenda kuua watu wengine kinyama.

Unaweza kudhania huyu mtu ana tatizo la akili ila ni mhanga wa ITIKADA ZA KITAPELI
View attachment 3237500
Nimekuwa nikieleza mara nyingi sana humu mtandaoni kwamba Kuna Mstari Mwembamba Sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.

Siyo Siri hata kidogo, ndugu zetu Waislam walio na misimamo mikali ya kijihadi ndio wamekuwa chachu kubwa kubwa sana kwa Tawala za nchi za Magharibi kuwa na Sera Kali Sana za Kupinga Uhamiaji na Wahamiaji wa kutoka nchi za Kigeni.

Suala la Kupinga Wahamiaji barani Ulaya na Marekani limekuwa gumzo kubwa sana katika nchi hizo kutokana na matendo maovu na Uhalifu mbaya unaofanywa na hawa ndugu zetu Waislam katika mitizamo ya kidini ya kiislamu.
Sasa hivi imekuwa ngumu Sana kwa Watu mbalimbali kupewa Viza au Vibali vya Uhamiaji katika nchi nyingi sana za huko barani Ulaya na Marekani kutokana na janga hili la Waislamu kujitoa muhanga kwa misingi ya Imani yao ya Uislamu
 
hiyo ni dalili ya kukata tamaa
Ukisha kuwa na watu ughaibuni walioingia kwa kuunga unga halafu wakawa hawana maisha, wanaweza kufanya chochote. Unaona VISA ya marekani inavyokuwa ngumu kuipata, hujitahidi kukwepa kupeka vijana waliokata tamaa. Ogopa sana vijana waliokata tamaa na maisha.......huiona bunduki kama fimbo....
 
Nimekuwa nikieleza mara nyingi sana humu mtandaoni kwamba Kuna Mstari Mwembamba Sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.

Siyo Siri hata kidogo, ndugu zetu Waislam walio na misimamo mikali ya kijihadi ndio wamekuwa chachu kubwa kubwa sana kwa Tawala za nchi za Magharibi kuwa na Sera Kali Sana za Kupinga Uhamiaji na Wahamiaji wa kutoka nchi za Kigeni.

Suala la Kupinga Wahamiaji barani Ulaya na Marekani limekuwa gumzo kubwa sana katika nchi hizo kutokana na matendo maovu na Uhalifu mbaya unaofanywa na hawa ndugu zetu Waislam katika mitizamo ya kidini ya kiislamu.
Sasa hivi imekuwa ngumu Sana kwa Watu mbalimbali kupewa Viza au Vibali vya Uhamiaji katika nchi nyingi sana za huko barani Ulaya na Marekani kutokana na janga hili la Waislamu kujitoa muhanga kwa misingi ya Imani yao ya Uislamu
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbimbimbu mnatangiliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikindi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kiona watu wanaunganisha ukatoloki na uasi, ule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.
 
Nimekuwa nikieleza mara nyingi sana humu mtandaoni kwamba Kuna Mstari Mwembamba Sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.

Siyo Siri hata kidogo, ndugu zetu Waislam walio na misimamo mikali ya kijihadi ndio wamekuwa chachu kubwa kubwa sana kwa Tawala za nchi za Magharibi kuwa na Sera Kali Sana za Kupinga Uhamiaji na Wahamiaji wa kutoka nchi za Kigeni.

Suala la Kupinga Wahamiaji barani Ulaya na Marekani limekuwa gumzo kubwa sana katika nchi hizo kutokana na matendo maovu na Uhalifu mbaya unaofanywa na hawa ndugu zetu Waislam katika mitizamo ya kidini ya kiislamu.
Sasa hivi imekuwa ngumu Sana kwa Watu mbalimbali kupewa Viza au Vibali vya Uhamiaji katika nchi nyingi sana za huko barani Ulaya na Marekani kutokana na janga hili la Waislamu kujitoa muhanga kwa misingi ya Imani yao ya Uislamu
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbimbimbu mnatangiliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikindi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kiona watu wanaunganisha ukatoloki na uasi, ule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.
 
Nimekuwa nikieleza mara nyingi sana humu mtandaoni kwamba Kuna Mstari Mwembamba Sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.

Siyo Siri hata kidogo, ndugu zetu Waislam walio na misimamo mikali ya kijihadi ndio wamekuwa chachu kubwa kubwa sana kwa Tawala za nchi za Magharibi kuwa na Sera Kali Sana za Kupinga Uhamiaji na Wahamiaji wa kutoka nchi za Kigeni.

Suala la Kupinga Wahamiaji barani Ulaya na Marekani limekuwa gumzo kubwa sana katika nchi hizo kutokana na matendo maovu na Uhalifu mbaya unaofanywa na hawa ndugu zetu Waislam katika mitizamo ya kidini ya kiislamu.
Sasa hivi imekuwa ngumu Sana kwa Watu mbalimbali kupewa Viza au Vibali vya Uhamiaji katika nchi nyingi sana za huko barani Ulaya na Marekani kutokana na janga hili la Waislamu kujitoa muhanga kwa misingi ya Imani yao ya Uislamu
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbumbumbu wa kilokole mnatanguliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikundi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kuona watu wanaunganishwa ukatoloki na uasi,

kule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.
 
Hilo teno linawabamba mtu akisema kiarabu Mungu ni mkubwa ''Allah akbar'' basi anajulikana ni muislamu 😅😅😅...Yale makundi ya kigaidi chini ya mfadhili USA yanasema hivyo kutwa ,yule muislamu wa mchongo Andrew Tate naye anatamka ili watu wamuamini ni muislamu.

Obviously ,hata kweny video za ngono unasikia wanasema ''ooh jesus '' je ,wametumwa na ukristo mbona waislamu hatuhusishi kila kitu na dini ya mtu binafsi.

Waliomkosa Trump mara mbili ,mbona hwakuitwa magaidi?

Kila nchi ina haki ya kufungia wageni kama tabia haziendani ila mnapokosoa basi mda mwingine ndio mnaupromote uislamu ..
 
Nimekuwa nikieleza mara nyingi sana humu mtandaoni kwamba Kuna Mstari Mwembamba Sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.

Siyo Siri hata kidogo, ndugu zetu Waislam walio na misimamo mikali ya kijihadi ndio wamekuwa chachu kubwa kubwa sana kwa Tawala za nchi za Magharibi kuwa na Sera Kali Sana za Kupinga Uhamiaji na Wahamiaji wa kutoka nchi za Kigeni.

Suala la Kupinga Wahamiaji barani Ulaya na Marekani limekuwa gumzo kubwa sana katika nchi hizo kutokana na matendo maovu na Uhalifu mbaya unaofanywa na hawa ndugu zetu Waislam katika mitizamo ya kidini ya kiislamu.
Sasa hivi imekuwa ngumu Sana kwa Watu mbalimbali kupewa Viza au Vibali vya Uhamiaji katika nchi nyingi sana za huko barani Ulaya na Marekani kutokana na janga hili la Waislamu kujitoa muhanga kwa misingi ya Imani yao ya Uis
Kwa kweli sio jambo jema kuhukumu kwa ujumla,lakini naungana na wewe kuwa...

Waislamu waende kwenye nchi za jamaa zao,mbona ziko nyingi tena nzuri na maisha mazuri kama Ulaya

Huko watakutana na wenzao wanao banana mila hata na imani

Huko hakutakua na kulazimishana mambo ya imani tena

Waende Saudi,Qutar,Oman nk

Wanatafuta nini Ulaya
 
Hilo teno linawabamba mtu akisema kiarabu Mungu ni mkubwa ''Allah akbar'' basi anajulikana ni muislamu 😅😅😅...Yale makundi ya kigaidi chini ya mfadhili USA yanasema hivyo kutwa ,yule muislamu wa mchongo Andrew Tate naye anatamka ili watu wamuamini ni muislamu.

Obviously ,hata kweny video za ngono unasikia wanasema ''ooh jesus '' je ,wametumwa na ukristo mbona waislamu hatuhusishi kila kitu na dini ya mtu binafsi.

Waliomkosa Trump mara mbili ,mbona hwakuitwa magaidi?

Kila nchi ina haki ya kufungia wageni kama tabia haziendani ila mnapokosoa basi mda mwingine ndio mnaupromote uislamu ..
Shida innanzia kwenye yale mnayoyahubiri katika mawaidha,na wakati mwingine yale yanayoendelea kwa vikundi vya misimamo mikali kama Hamas,South,ISIS nk

Yanafanya tuamini

Na wengi wenu kuwaona wale wanayoyafanya hayo kama mashujaa...mfano marehem Osama Bin Laden
 
Shida innanzia kwenye yale mnayoyahubiri katika mawaidha,na wakati mwingine yale yanayoendelea kwa vikundi vya misimamo mikali kama Hamas,South,ISIS nk

Yanafanya tuamini

Na wengi wenu kuwaona wale wanayoyafanya hayo kama mashujaa...mfano marehem Osama Bin Laden
😅😅Unaogopa tu ...Waarabu wte wanatamka hivyo kutokana na lugha.

Shida ni nyie si muweke vikwazo kila mtu abaki mkoani kwake au nchi yake.

Mbona wacheza porn wanavaa misalaba wala hakuna anayeutaja ukristo ,waislamu wanawacheka sana kwa vile mnaongea kitu bila kuju, wazungu wanapambana badala ya kuufuta ndio wanaupa promo
1000024911.png
 
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbimbimbu mnatangiliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikindi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kiona watu wanaunganisha ukatoloki na uasi, ule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbimbimbu mnatangiliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikindi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kiona watu wanaunganisha ukatoloki na uasi, ule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.
We acha upkmbavu tofautisha mtu binafsi na Dini ya mtu sio kila anachofanya anafanya kwa niaba ya dini yake hapana

Tatixo la nyie mbumbumbu wa kilokole mnatanguliza chuki dhidi ya uislamu badala ya kutimia akili na logic kony wa Uganda ni mkatoliki na kikundi chake kinaitwa Lord resistance army LRA ilisha wahi kuona watu wanaunganishwa ukatoloki na uasi,

kule Northern Ireland wakatoliki wanafanya ugaidi wa kila aina kujitenga ilisha wahi kuona wana kosoa kanisa kwa ugaidi mfano ni mingi tu.

Nafikiri wewe ni miongoni mwa jamii ya wale Waislamu ambao upeo wao wa akili ni kiduchu sana, wale Waislamu ambao ni Mambumbumbu.
Lakini Ukweli mchungu Sana unabaki kuwa mmekuwa tatizo kubwa sana katika nchi nyingi Sana hapa duniani, Watu wengine wengi wanakosa Imani dhidi yenu. Tatizo hili mmelitengeneza nyinyi wenyewe kutokana na matendo yenu ya uhalifu kwa misingi ya Imani yenu ya Uislam, kwa hakika mnapaswa kubadilika na kujirekebisha.

Sasa hivi Wasafiri wa Kimataifa wamekuwa wakikumbana na Kero kubwa sana kutokana na matendo yenu. Kwenye Hati yako ya Kusafiria (Passport) ikiwa imepigwa Mhuri au kuwa na Stamps za Mihuri ya kuwahi kutembelea kwenye nchi za Kiislamu au nchi zenye Waislamu wengi Basi utakumbana na Kero kubwa sana kutoka kwa Maafisa wa Uhamiaji katika nchi mbalimbali, utaulizwa maswali mengi Sana kupita kiasi kuhusiana na Safari zako ulizofanya kwenye nchi hizo za Kiislamu.
 
Ukisikia allah Akbar lala chini ya meza maana baada ya muda mfupi damu itatapakaa kila mahali
Hapo kuna mhitimu mmoja anataka amfurahishe allah kwa kuuwa makafir apate thawabu kwa allah na wanawake mabikra 72 na mito inayotiririsha pombe za kila aina.
 
Mi nataka tu kujua ni Mungu yupi huyo wa kweli anaewatuma watu kwenda kuua watu wengine kinyama.

Unaweza kudhania huyu mtu ana tatizo la akili ila ni mhanga wa ITIKADA ZA KITAPELI
View attachment 3237500
Acha upuuzi wako huko America hizo mass shooting mbona zinatokea kila siku mbona hamuanzishi uzi humu?

Yani huyu kisa muislamu ndio kumuanzishia uzi hapa.

Hao wote ni wauwaji awe muislamu awe sio muislamu. Msibague wauwaji wa dini yenu na kuwashambulia waislamu. Hao wote ni wakosaji.

Ukitaka kujua Uislamu unafundisha nini kuhusu kuuwa watu soma Quran zipo zenye tafsiri ya kiswahili utaona humo kama watu wametumwa kuua au la. Acha kutuchafulia dini yetu na wapuuzi wa ajabu ajabu wenye ugonjwa wa akili
 
Nafikiri wewe ni miongoni mwa jamii ya wale Waislamu ambao upeo wao wa akili ni kiduchu sana, wale Waislamu ambao ni Mambumbumbu.
Lakini Ukweli mchungu Sana unabaki kuwa mmekuwa tatizo kubwa sana katika nchi nyingi Sana hapa duniani, Watu wengine wengi wanakosa Imani dhidi yenu. Tatizo hili mmelitengeneza nyinyi wenyewe kutokana na matendo yenu ya uhalifu kwa misingi ya Imani yenu ya Uislam, kwa hakika mnapaswa kubadilika na kujirekebisha.

Sasa hivi Wasafiri wa Kimataifa wamekuwa wakikumbana na Kero kubwa sana kutokana na matendo yenu. Kwenye Hati yako ya Kusafiria (Passport) ikiwa imepigwa Mhuri au kuwa na Stamps za Mihuri ya kuwahi kutembelea kwenye nchi za Kiislamu au nchi zenye Waislamu wengi Basi utakumbana na Kero kubwa sana kutoka kwa Maafisa wa Uhamiaji katika nchi mbalimbali, utaulizwa maswali mengi Sana kupita kiasi kuhusiana na Safari zako ulizofanya kwenye nchi hizo za Kiislamu.
Mnakosa imani si mzuie tu basi waislamu wasifike nchi zenu na wao wasifike nchi za waislmu.

Kiufupi wewe hujui chochote ,ulishaona top ya viongozi wa dini zote wakigombana ? Utakuwa mkimbizi hakuna mtu anaenda nchi za watu bila ya sababu ...Nchi za waislmu hao wazungu wanafuata dini na wewe? Mnapeleka harakati zenu kabisa

Kama mnaenda kweny nchi za watu kupeleka ujinga wa demokrasia basi na nyie muwe tayari,kama mnachochea vita kweny nchi za basi na nyie muwe tayari kupata mashambulizi...Walikuwa na haja gani kwenda kupigana vita vietnam....


Simply mnaweza kublock kila kitu kuanzia Tv zenu ,msifike nchi nyingine na wao hawatofika kama North na south Korea mpaka leo ni heshima.
 
Acha upuuzi wako huko America hizo mass shooting mbona zinatokea kila siku mbona hamuanzishi uzi humu?

Yani huyu kisa muislamu ndio kumuanzishia uzi hapa.

Hao wote ni wauwaji awe muislamu awe sio muislamu. Msibague wauwaji wa dini yenu na kuwashambulia waislamu. Hao wote ni wakosaji.

Ukitaka kujua Uislamu unafundisha nini kuhusu kuuwa watu soma Quran zipo zenye tafsiri ya kiswahili utaona humo kama watu wametumwa kuua au la. Acha kutuchafulia dini yetu na wapuuzi wa ajabu ajabu wenye ugonjwa wa akili
Asipokuwa muislamu haitwi gaidi ,wajinga sana hawa haswa hawa wakimbizi wasiotulia nchi zao kwa kuomba omba .Misaada mnapewa ila kila siku wanaenda nchi za watu .


Wazungu wa Tandale wana tabu sana wametoka kwao huko hata kuoga hawajui ,leo wanajifanya wanajua nchi za nje...Death shootings kila siku ila akiwa muislamu basi ndio inatajwa dini yake.
 
Back
Top Bottom