edger jairos
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 335
- 71
Athar zikojeUkitumia Miguu Miwili Kwenye Automatic
Bila Shaka Yoyote Mambo Yatakuendea Kombo.
Umejifunza Kuendesha Gari Ama Unauliza Tu Kujua Iwapo Inawezekana
Utajikuta panapohitaji breki wewe unakanyaga mafuta.Athar zikoje
Utajikuta panapohitaji breki wewe unakanyaga mafuta.
Miguu miwili ni kwa manual transmission
Hakuna shida ila ni rahisi kujichanganya badala ya brake ukanyage mafuta unajikuta umeshagonga tayariKmaa control naifanya vzr naachia exlator na napobana brake bado itakua na shda?
Hakuna shida ila ni rahisi kujichanganya badala ya brake ukanyage mafuta unajikuta umeshagonga tayari
Inategemea na ulivyoanza kujifunza hiyo Gari....kama ulianzia manual na kuzoea basi ni ngumu ku adapt miguu miwili kwenye auto...ila kama umeanzia auto moja kwa moja na hutarajii kukutana na manual sioni tatizo lolote....mimi nilijifunzia manual lakini nikaja kutumia auto na nikaanza nayo kwa kutumia miguu miwili, ni mwaka wa kumi sasa na huwa nasafiri masafa bila shida yoyote.
Athari ninayoijua ni kuwa sitaki Mtu wa karibu ajue maana kuna Mtu alipogundua alinicheka na kusema naendesha kitoto au kike.
Na kuna siku nilitaka kujaribu hiyo ya Mguu mmoja nikajikuta nashindilia pedal ya mafuta nikijua ni breki ilibaki inches niuvae ukuta sitasahau...nimeapa sihangaiki tena nitaendelea na Miguu miwili, kwani nini bana.
Hakuna shida ila ni rahisi kujichanganya badala ya brake ukanyage mafuta unajikuta umeshagonga tayari
Inategemea na ulivyoanza kujifunza hiyo Gari....kama ulianzia manual na kuzoea basi ni ngumu ku adapt miguu miwili kwenye auto...ila kama umeanzia auto moja kwa moja na hutarajii kukutana na manual sioni tatizo lolote....mimi nilijifunzia manual lakini nikaja kutumia auto na nikaanza nayo kwa kutumia miguu miwili, ni mwaka wa kumi sasa na huwa nasafiri masafa bila shida yoyote.
Athari ninayoijua ni kuwa sitaki Mtu wa karibu ajue maana kuna Mtu alipogundua alinicheka na kusema naendesha kitoto au kike.
Na kuna siku nilitaka kujaribu hiyo ya Mguu mmoja nikajikuta nashindilia pedal ya mafuta nikijua ni breki ilibaki inches niuvae ukuta sitasahau...nimeapa sihangaiki tena nitaendelea na Miguu miwili, kwani nini bana.
Haina shida, muhimu ni mazoea usije ukajaribu jambo jipya ndani ya muda mfupi haswa kwa chombo cha moto...utapata ajali.Hapa ninaona tujue shida ni nini ,
Chanzo hapa kumbe ni kujisahau ila kimsingi naona haina shida .au...
Haina shida, muhimu ni mazoea usije ukajaribu jambo jipya ndani ya muda mfupi haswa kwa chombo cha moto...utapata ajali.