Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
Chuo gan??
bila shaka itakuwa NIT..
HIYO AUTOMOTIVE/automobile engineering ni the same na mazingira yao ya kufanya kazi pia yanafanana eg. migodini, bandarini, viwandani na kwenye mitambo ya gas.
kutokana na uhitaji wa teknolojia siku za usoni binafsi namshauri apige MECHANICAL.
mimi nina diploma ya mech na pia nimeomba chuo kama mambo yakienda vema naenda piga shahada yake pale DIT au MUST.