Hata kama hizo picha si za kweli, mimi haya mambo ya facebook, twitter, online dating nk. kwa kweli hapana kabisa. I just can't trust anybody.
No hizo picha ni kama zinafanana vile mtu akifa jamani si anabadilika ..ukicheki uso mbona vinaendana
bora niendelee kuchat na nyie hapa JF lakini huko Kwenye web zingine naogopa mie lol
hilo neno!!! wakati mwingine hata kimvuli chako usikiamini!!!
FL1 mie hata FB pg yangu nahisi ilifungwanga longiii!!!!
acheni uoga, hayo hayawezi kutokea bongo bana!!, ila toto limeumbika na hizo boobs.
Mmh hii inatisha,ngoja nikatoe picha zangu nilizoziweka facebook!
You damn right in-law! I don't even trust my own dam self so why in the living hell would I even think of trusting somebody else? Hell no. Mwendo mdundo tu hapa...
Mimi hata kuitumia fesibuku sijui.
bht ni bora tuszisahau tu hizo site zingine kama huwa zipoFL1 mie hata FB pg yangu nahisi ilifungwanga longiii!!!!
Mmh hii inatisha,ngoja nikatoe picha zangu nilizoziweka facebook!
GS nenda katoe fasta ......please ! Binadamu hatuaminiki kabisa sijui inakuwaje ?
(source unknown; I don't know how genuine the pictures actually are.)
A reminder to those who are on facebook not to give too much of your personal details!!
The girl in the picture posted the nice looking pictures on Facebook and of course she got like a million friend request she accepted all of them. One of the guys started asking her to meet up and I guess to have sex she deny him but since it was Facebook she had put all her info there too so he had her address phone number etc etc so he showed up at her place and then the last 4 pictures tell the story of what happen.....!!!!
Ndio mwisho wa binadmu muwaji na yeye anasiku yake binti ndio amesha Tangulia kama hii habari ni ya ukweli kama ilivyo simuliwa ,lakini yote tisa Kumi katika picha yake ya mwanzo Msalaba umekaa pazuri Mmmmmmmm.
GS nenda katoe fasta ......please ! Binadamu hatuaminiki kabisa sijui inakuwaje ?
you're sick in the head!!