Avatar inayokufurahisha zaidi..

Last emperor

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
10,351
Reaction score
9,855
Wakuu wangu nawasalimia,
Ni avatar ipi ya mwana JF inakufurahisha zaidi?Aidha unacheka,unatabasamu,unaipenda au inakufanya umtafakari huyu mwenye hiyo avatar?Mimi kuna avatar huwa nikiziangalia huwa ninabaki nacheka au ninawatafakari wenye avatar..

1) Fisadikuu
2) Chizi maarifa
3) Jingalao
4) Ibilisi
5) Ndyoko
Je wewe mwenzangu ni ipi inakufurahisha?
 
mtupiage na picha tuzikumbukage badala ya kusakanya
 
mimi ningeingia chini ya uvungu kupinga waliopanda juu ya meza hauwezekani karne hii kuendelea na JEMBE
kale kajembe kako maridadi kabisa, KAZI yake ni kuongeza utanashati na sio cha kulimia.
Ni kama tai, haikusitiri ila inakuongezeA umaridadi.

Hata fimbo ya askari sio silaha ni kiashiria cha mamlaka na kuongeza unadhifu
 
Duh nakupa tuzo kwa uzi huu
kale kajembe kako maridadi kabisa, KAZI yake ni kuongeza utanashati na sio cha kulimia.
Ni kama tai, haikusitiri ila inakuongezeA umaridadi.

Hata fimbo ya askari sio silaha ni kiashiria cha mamlaka na kuongeza unadhifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…