Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Watu hamna dogo hii nchi!
🤣🤣🤣🤣 Wametisha aisee,kama movie
tuna subiri tamko la bakwata kuhusu halali na haramu ya uraisiWatu hamna dogo hii nchi!
😂😂
Nakazia Hasa Kwenye Hii Sikukuu Ya KuchinjaBasi comments ziwe fupfupi ili tuokoe muda wakuu....😊
Labda BAKWATA ya Afghanistan kwa Taliban kama ni hii hihi ya CCMtuna subiri tamko la bakwata kuhusu halali na haramu ya uraisi
Mkuu Kennedy upo powa?Nakazia Hasa Kwenye Hii Sikukuu Ya Kuchinja
huyu jamaa namfahamu kuna sehemu tulikua tunaka kilevi wote kwa pamoja
Asante asante mkuu!Nipo Mkuu
Nakutakia Sikukuu Njema
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nje ya mada kidogo, kama unabadili avatar yako hapa JF mara kwa mara basi una mambo ya kike, hauna msimamo.
Hapa JF hatuuzi sura.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ID ni yakoo? Acha watu wabadili daily.Nje ya mada kidogo, kama unabadili avatar yako hapa JF mara kwa mara basi una mambo ya kike, hauna msimamo.
Hapa JF hatuuzi sura.
Nimeipenda hiiNje ya mada kidogo, kama unabadili avatar yako hapa JF mara kwa mara basi una mambo ya kike, hauna msimamo.
Hapa JF hatuuzi sura.