We hendsam bwana mbona huwa nakuambia siku zoteHii ndiyo akutukanae hakuchagulii tusi
Mi niliitoa kwenye gallery ya simu yangu.
Makutupora JKT Dodoma.
Ha ha ha
Bado huwa unaiangaliaWabunge wakitumia simu ya tochi kumulika nyaraka baada ya umeme kukatika Bungeni.
Wap kijijinNiliipata hukuView attachment 1248417
Ha ha ha unaeza ukatueleza tu mkuuMimi nadhani Sina haja ya kujielezea
Naona mbwaHako hapo ka dog kangu sema sasa hivi kawa mkubwa ameoa sada
Iko sehem gan hyo au uliipata mtandaoniThe hidden Rock City View.
Ha ha ha ndyo...Hata Mimi unaniuliza jamani?