Kabisaa ,,nukitaka kujua huyu nimwanamme au mwanamke we angalia iyo kitu tuu,, , anaweza andika ni mwanamke lkn picha yake inaonyesha let say bunduki ,,, so hapo lazima ujue uyo nimwanamme !!.Habari wadau, nimejaribu kufikiria na hili kuhusu avatar za member wengi wengi wa jf zinaendana na tabia zao.maana sometime nikiangalia avatar ya mtu na anachopost au comments nagundua wazi kabisa tabia na avatar iliyopo ya member husika inaendana na tabia yake mfano
Rohombaya,joseverest,mwanamama faizafox,mensaah, mshana jr bila shaka ni yake kabisa na wengine wengi.