Na ndo napochimba dawaBe strong [emoji123] when you are at kibiti
Inawezekana wewe ndio muuaji wa kibiti. [emoji23] [emoji23] [emoji23] natania banaaSo mie nafanana na watu wa Kibiti?
Wewe ni bashaKwa hiyo unataka kusema mini kijana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiseme wakuskie watakuja nizingiraInawezekana wewe ndio muuaji wa kibiti. [emoji23] [emoji23] [emoji23] natania banaa
Naunga mkono hojabig NOOOOO
[emoji3][emoji3][emoji3]Na ndo napochimba dawa
Picha yangu inazungumza aje..!?Kabisaa ,,nukitaka kujua huyu nimwanamme au mwanamke we angalia iyo kitu tuu,, , anaweza andika ni mwanamke lkn picha yake inaonyesha let say bunduki ,,, so hapo lazima ujue uyo nimwanamme !!.
Mara nyingi picha inazungumza sana ikiwa umeamua kuijua !!.
Ukichimba jamaa wanakutunguaNa ndo napochimba dawa
Ngoja nifunge mdomo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiseme wakuskie watakuja nizingira
View attachment 537238
Afadhali, wana nongwa sana hawaNgoja nifunge mdomo.
nikiangalia avatar yako inaonesha mtu mmoja mlevi na asiyejielewa, mchafu pia kitu ambacho sio kweliNaunga mkono hoja
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wewe ni basha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utamsogeleaje dume mwenzio hivyo?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Acha mawazo ya hovyo mkuu nipo kwenye foleni nina haraka sana si unajua me mjasiriamali
Hisia tu hizo[emoji23] [emoji23] [emoji23] utamsogeleaje dume mwenzio hivyo?
Member akiwa na Avatar ya bahari.. Je anaendana nayo?