Inamaanisha wamefulia, kama hata avatar hawana wee unazani watakuwa na nini? think! sweetlady think!na wasiokuwa na avatar je?
aisee mkuu mimi nmeshndwa kuweka hyo avatar nilijarbu ku'upload pic ipo kwnye my album, msaada wako pliz?Inamaanisha wamefulia, kama hata avatar hawana wee unazani watakuwa na nini? think! sweetlady think!
Je wanaoweka picha za maselebrity wanafanana nao?
Hahaha! Akutukanaye hakuchagulii tusi..lol . Hivi inaruhusiwa kuweka avatar ya mwenzako? Kloro naomba niweke yako, ntakuwa nalipia kwa mwezi!Inamaanisha wamefulia, kama hata avatar hawana wee unazani watakuwa na nini? think! sweetlady think!
na wasiokuwa na avatar je?
<br />
<br />
aisee mkuu mimi nmeshndwa kuweka hyo avatar nilijarbu ku'upload pic ipo kwnye my album, msaada wako pliz?
Hahaha! Akutukanaye hakuchagulii tusi..lol . Hivi inaruhusiwa kuweka avatar ya mwenzako? Kloro naomba niweke yako, ntakuwa nalipia kwa mwezi!
kaka mi nafanana na yangu kopirait
Hahaha! Samsing money cant buy?? Ni nini? Roho au?? Ntalipia feza bana! Naogopa kulipia samsing!hehehe utalipia nini? feza au samsing money kant buy?
<br />
<br />
aisee mkuu mimi nmeshndwa kuweka hyo avatar nilijarbu ku'upload pic ipo kwnye my album, msaada wako pliz?
Ntake radhi tafadhali.. Mawazo yapo yapo ndo nini sasa??hata mawazo yao yapo yapo tu
Hahaha! Samsing money cant buy?? Ni nini? Roho au?? Ntalipia feza bana! Naogopa kulipia samsing!
hilo ni box la kibuku, sio chakula! Kuna kibuku takeaway siku iziNamaanisha mawazo siyo sura, wewe utakuwa unapenda kula kula ndio maana umeweka avatar ya box la chakula au mawazo yako yatakuwa na muelekeo wa chakula chakula
Ntake radhi tafadhali.. Mawazo yapo yapo ndo nini sasa??
hata mawazo yao yapo yapo tu