Hahaahah mkuu vipi malinzi atakuwa ameshinda uchaguzi nadhaniMpaka watoke rumande watakuta Mo kasajili wahindi timu nzima
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, habari kutoka kisutu ni kuwa kaburu nyange pamoja na Aveva watakaa rumande mpaka July 13 baada ya mashtaka matatu kati ya matano kukosa sifa za kuwa na dhamana likiwemo la kutakatisha fedha lakini pia rais wa shirikisho la mpira Tanzania na katibu mkuu wa tff nao wamesomewa mashtaka 28 nao pia wamenyimwa dhamana hivyo nao kuendelea kusota rumande.
Ahsante mkuu for attachment
Kuwa mgombea kinara hakukuzuii kufariki. Cha msingi ni kwamba next year watani zangu hawatadanganywa maana wadanganaji wana tuhma ambazo zitawanyima sifa za kuonekana mtaaniHahaahah mkuu vipi malinzi atakuwa ameshinda uchaguzi nadhani
Kama una ushahidi nenda takukuru vipi lile la kumhonga yule wa kagera mpaka mkashinda nane?Na lile kosa la kumhonga kipa wa Mbao FC vipi?
Vipi manji teja mlimpelekea?Ratiba ya kupeleka chakula rumande
30/6/17
Simba Damu Fans
1/7/17
Simba Platnum Supporters
2/7/17
Mpira Pesa
3/7/17
Wekundu ws Terminal
4/7/17
Simba Makini
5/7/17
Simba dume Temboni
6/7/17
Mpira maendeleo
7/7/17
Manara vuvuzela
[emoji23][emoji23][emoji23]
GENTAMYCINE anapeleka lini?Ratiba ya kupeleka chakula rumande
30/6/17
Simba Damu Fans
1/7/17
Simba Platnum Supporters
2/7/17
Mpira Pesa
3/7/17
Wekundu ws Terminal
4/7/17
Simba Makini
5/7/17
Simba dume Temboni
6/7/17
Mpira maendeleo
7/7/17
Manara vuvuzela
[emoji23][emoji23][emoji23]
Poleni sana wazee wa simba...mpatto kwani Joseverest anahusika vipi ni hii mada, na kama huna cha kuchangia uwe pita kwa kutulia na ni wakati muafaka wa uongozi wa JamiiForums kudhibiti watu kama nyie mnao ongoza kuharibu mada za watu.
Turudi kwenye mada husika; Binafsi ningependa kuona mahakama inatenda haki kwa hao wanaoshutumiwa kuhujuma timu yetu wapewe adhabu kulingana na ukubwa wa makosa yao.
SIMBA SC NGUVU MOJA.