Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,118 Reaction score 16,485 Jun 30, 2017 #61 OSOKONI said: Kwani MO ni kocha? Click to expand... Tangu lini usajili wa Simba ukafanywa na kocha?
OSOKONI JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 10,965 Reaction score 5,339 Jun 30, 2017 #62 Mwana Mtoka Pabaya said: Tangu lini usajili wa Simba ukafanywa na kocha? Click to expand... Miaka yote wewe ni shabiki uchwara
Mwana Mtoka Pabaya said: Tangu lini usajili wa Simba ukafanywa na kocha? Click to expand... Miaka yote wewe ni shabiki uchwara
G Gne gner JF-Expert Member Joined Nov 24, 2016 Posts 501 Reaction score 278 Jun 30, 2017 #63 Mwana Mtoka Pabaya said: Mpaka watoke rumande watakuta Mo kasajili wahindi timu nzima Click to expand... Haaaaa haaaaa mkuu umeua umepiga penyewe
Mwana Mtoka Pabaya said: Mpaka watoke rumande watakuta Mo kasajili wahindi timu nzima Click to expand... Haaaaa haaaaa mkuu umeua umepiga penyewe
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,118 Reaction score 16,485 Jun 30, 2017 #64 OSOKONI said: Miaka yote wewe ni shabiki uchwara Click to expand... Koma wewe, mimi sio shabiki wa Simba, we vipi?
OSOKONI said: Miaka yote wewe ni shabiki uchwara Click to expand... Koma wewe, mimi sio shabiki wa Simba, we vipi?
Sibonike JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 17,296 Reaction score 18,027 Jun 30, 2017 #65 Aliongea sana wakati wa sakata la Manji. Picha ni mahakamani Kisutu baada ya Aveva na Kaburu kwenda rumande. Akiba ya maneno ni muhimu !
Aliongea sana wakati wa sakata la Manji. Picha ni mahakamani Kisutu baada ya Aveva na Kaburu kwenda rumande. Akiba ya maneno ni muhimu !