...hebu nielekezeni,kuna ubaya gani wa MO kupewa timu?,km atajenga facilities kwa ajili ya timu kufanyia mazoezi,atasajili wachezaji wa viwango toka pande zote za dunia (sio mafundi wa mtibwa!),alipe mishahara ya wachezaji kwa wakati...hatimaye Mungu akijalia,timu ianze kufanya vizuri kitaifa na kimataifa,hata km jamaa atapata "faida" ambayo siijui ni faida gani!,hivi sisi mashabiki wa Simba tutapungukiwa na nini?!
....Hawa jamaa wamekataa bilioni 10 za MO kwa kudai ni ndogo,halafu timu ikaendelea kufanya vibaya mpk mwisho wa ligi,hivi kwanini basi wao wasingeweka bilioni 30 km wanazo!,na wala sio kutudanganya timu ina thamani halafu inaendelea kudidimia kimpira!,tusileweshwe na propaganda za hawa matapeli mpeni timu "MO".
Furaha yetu siku zote ni Ushindi/Ubingwa!,nothing else!