540 hawana F28, nijuacho ni kwmb wana
-Dash-8,
-Beechcraft-19, na
-Caravan C208.
Fokker 28 ni kama ile ndege ya jet ya TGFL, yenye registration 5H-CCM. Kama wanayo, basi ni bahati. nadhan tuko pamoja.
Hata hivyo nawatakia 540 kila la heri. Ni hatua ya ushindani, na mwenye nafuu atakuwa mlaji.
kwanza izindue air hostess wenye adabu
hili ni muhimu zaidi, hata wafanyakazi wake ni matapeli, wanauza tikiti kwa magendo. Ni hovyo hovyo hovyo......................
Sijui ATCL imebaki na ndege ngapi jamani?
By Wolfgang H. Thome, eTN | Feb 10, 2011
(eTN) - The recent introduction of flights between Dar es Salaam, Tanzania's Indian Ocean port city, and Mwanza, the Tanzanian Lake Victoria municipality, has hit the market with a ban, as the fares charged by Fly540 are reportedly as much as 50 percent lower than the ones demanded by its competition.
While Precision Air, which incidentally is preparing for an IPO on the Tanzanian financial market, is downplaying the competitive threat, Air Tanzania, struggling as it is against its financial expiry, seems more concerned about the latest entrant on the domestic market in Tanzania. Left with reportedly only one operational aircraft, the erstwhile national airline has seen its fortunes plummet, its markets taken over by Precision – and now Fly 540 overtaking it, too, and been subject to a range of allegations over financial dealings, exposed by WikiLeaks documents in recent weeks.
Considering the cut-throat competition on the Kenyan domestic market, where of late Kenya Airways has gone on a major marketing offensive for their routes between Nairobi to Mombasa and to Kisumu, which has already led to the takeover of EASAX by Fly540, it will be interesting to see how competition will play out on the Tanzanian market
Siwafahamu hawa 540, lakini hiyo nauli wanayotoza kwenda MZA na kurudi DSM, sijui kama inaendana na huduma, usalama, n.k. Bure gharama jamani!!! Sikubaliani na Mahesabu kuhusu PRECISSIONAIR kuiua ATC, kusema la ukweli ni ufisadi ndo umeiua ATC (a.k.a Any Time Cancellation)!!!
YOU mean precision charges 149,000 on return ticket? that would be wonderful news.Fly 540 are charging Tzs 199,000 for Dar - Mza - Dar ticket.
As they were loosing customers Precision Air are now doing Tzs 149,000 on the same route. Wakati Unguja sasa wanalipa Tzs 60,000.
That is to say Precision have been making super profits by charging Tzs 340,000 for Dar Mza Dar ticket.
Kama kuna wadau kwenye aviation industry wajaribu ku-shade some light on how much can ATR - 50 passg seater make kwa trip ya Dar Mza Dar.