GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Habari wanaJF,
Naomba kuuliza kwa sisi tulimaliza mwaka huu na tunahitaji kuendelea na masomo, tutakuwa na muda wa kuomba mkopo na vyuo kutokana na deadline waliyoweka?, Naomba kupata uzoefu kwa wale waliowahi kufanya hivyo maana lengo langu niunge nasubiri matokeo kwa sasa.
Naomba kuuliza kwa sisi tulimaliza mwaka huu na tunahitaji kuendelea na masomo, tutakuwa na muda wa kuomba mkopo na vyuo kutokana na deadline waliyoweka?, Naomba kupata uzoefu kwa wale waliowahi kufanya hivyo maana lengo langu niunge nasubiri matokeo kwa sasa.