Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndoa ni ndoa kwa wale wanaofikiria kuingia kuna mambo mengi uanitaji kujiadhari nayo kabla ya moto aujakuwakia..lipo swala moja la 3rd party .akuna ambae apendi kuishi na mdogo wake ama kaka yake ama sis wake kama ana uwezo..lakini labda hili ni kwa wewe unaetarajia kuoa...unajua ni vizuri ujue mapenzi mliokuwa nayo kama wachumba ni tofauti mtakayokuwa nayo mkiwa kwenye ndooa..kuna wengi wanajuta baada ya ndoa lakini hayo ni mapito...hivyo basi ni vyema baada ya ndoa ata kama ulikuwa ukiishi na mdogo wako ndugu yoyote ukachkua nafasi ya kumwachia mkeo na yeye akujue vyema...
Nini naamaanisha ukiwa ulikuwa unaishi na ndugu vyema wakati wa ndoa ukamwacha akae hata kwa shangazi mjomba kama ni msaada endelea kutoa kama kawaida lakini ni wakati muafaka uishi na mkeo mjuane je huyu niliekuwa nae hapo nyuma ni huyu kweli ama kivuli chake...na yeye pia achunguze ze same kama ameolewa na fred yule yule ama msukule baada ya muda fulani simbaya kumjulisha nia yako ya kuwa nataka nimlete mdogo wangu ama ndgu yangu makubaliano haya yatabariki sana ndoa yenu kulikuwa mkeo kufanyiwa suprise na mifuko ya rambo
Baada ya hapa najua kila mtu atakuwa yuko na amani na hata weewe mwanamke ukiamua kumleta nduguyo huna budi kumjulisha mumeo maan sikuhizi imekuwa mume kaleta ndugu bila kusema kesho unashangaa mwanamke nae kaleta kijana anadai kaka wakati mwingine bila kuwa na maono uko na mume mwenzio ndani ya nyumba so ni vyema tukajihdhari na haya....tusiache kusaidia ata baaa ya ndoa ,wengi wanahis baada ya ndoa uwezi ama utakiwi kutoa msaada wowote kwenu na hasa ukikutana na mwanamke kichaa unajuta ndani ya ndoa..ila nahisi swala hili ni maelewano ikifika busara zitumike basi na nguvu iambatane kujulisha mkeo kwamba na kama si wazazi wako usingekuwa hapo
Nawatakia wote heri na fanaka wanaotarajia kufunga ndoa wiki hii na pia kuwapa pole wale wote wanaitarajia kuvunja ndoa zao mahakamani wikii hii maana mahakimu wanakuwa ma comedy kwa muda..polen sana sana
Nini naamaanisha ukiwa ulikuwa unaishi na ndugu vyema wakati wa ndoa ukamwacha akae hata kwa shangazi mjomba kama ni msaada endelea kutoa kama kawaida lakini ni wakati muafaka uishi na mkeo mjuane je huyu niliekuwa nae hapo nyuma ni huyu kweli ama kivuli chake...na yeye pia achunguze ze same kama ameolewa na fred yule yule ama msukule baada ya muda fulani simbaya kumjulisha nia yako ya kuwa nataka nimlete mdogo wangu ama ndgu yangu makubaliano haya yatabariki sana ndoa yenu kulikuwa mkeo kufanyiwa suprise na mifuko ya rambo
Baada ya hapa najua kila mtu atakuwa yuko na amani na hata weewe mwanamke ukiamua kumleta nduguyo huna budi kumjulisha mumeo maan sikuhizi imekuwa mume kaleta ndugu bila kusema kesho unashangaa mwanamke nae kaleta kijana anadai kaka wakati mwingine bila kuwa na maono uko na mume mwenzio ndani ya nyumba so ni vyema tukajihdhari na haya....tusiache kusaidia ata baaa ya ndoa ,wengi wanahis baada ya ndoa uwezi ama utakiwi kutoa msaada wowote kwenu na hasa ukikutana na mwanamke kichaa unajuta ndani ya ndoa..ila nahisi swala hili ni maelewano ikifika busara zitumike basi na nguvu iambatane kujulisha mkeo kwamba na kama si wazazi wako usingekuwa hapo
Nawatakia wote heri na fanaka wanaotarajia kufunga ndoa wiki hii na pia kuwapa pole wale wote wanaitarajia kuvunja ndoa zao mahakamani wikii hii maana mahakimu wanakuwa ma comedy kwa muda..polen sana sana