Awaambia wavue nguo ili Roho Mtakatifu awaingie vizuri

mfilisti

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
3,641
Reaction score
19,279
Yamekuepo matukio ya ajabu kwenye makanisa miaka ya hivi karibuni hasa nchini Afrika ya Kusini.

Hili ni tukio lingine la ajabu na lililo washangaza wengi baada ya Mchungaji huyu kuwaambia waumini wake wavue nguo ili roho Mtakatifu awaingie vizuri.

Hivi ni kweli Roho Mtakatifu anahitaji uvue nguo??

Kwa nini yeye hajavua?
 
Ila mimi hata kama mtanishangaa lakini nitazidi kusema kuwa "Wafia Dini ni wajinga kuliko kuliko Wapumbavu"

Hizi Dini zimekuja tu kuharibu akili za watu, hasa wanawake yaani wamekuwa na kimbelembele kuliko kasi ya mwanga.
 
this is too much..... I hate these kind of fake pastors.😠
 
ULIYEWADANGANYA WEZIO MUNGU ANAKUONA
 
Mchungaji wa uongo na waliovua ni mafafafafafa
 
This doesn't look like a church. Hebu tupe source mkuu, imetokea wapi na kanisa gani?
 
Dini Ndo inanguvu kiasi hichoo [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Usihangaike nawapumbavu maana wapumbavu huangaika na wapumbavu.
 
Kila nikionaga hivo imani hunishuka maana nashindwa kujua tunakaaje kiimani
 
Kuna mambo bana ata shetani lazima ashangae
 
anawavutia hisia akawapigie nyeto nyumbani kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…