Awabaka Wasichana Watatu waliokuwa wakiokota kuni vichakani

Awabaka Wasichana Watatu waliokuwa wakiokota kuni vichakani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Watani mpo!

Katika hali ya Kushangaza Mtu Mmoja kutoka Mkoani Kagera (kwa Watani zake Wakubwa GENTAMYCINE) kutokana na 'Upopoma' wake uliotukuka aliamua 'Kuwabaka' Wasichana Watatu kwa zamu Porini walikokuwa Wakiokota Kuni.

Watani zangu Wahaya hivi 'Uhuni' mmeutoa wapi? Mbona mnatutia sana Aibu Watu wa Kanda ya Ziwa?

Halafu mkiambiwa kuwa Kanda ya Ziwa nzima Watu Wastaarabu, wasio na Uhuni na Wanajitambua ni kwa kutoka Mkoani Mara (Musoma) hamtaki.

Na sijui kwanini Watu wa Mikoa ya Kagera Wahaya, Singida Wanyiramba na Wanyaturu, Kigoma kwa Waha, Dodoma kwa Warangi na Mwanza Ukerewe kwa Wakara na huu Upuuzi ambao ni Nadra kuukuta katika Mkoa uliobarikiwa Tanzania nzima na Duniani kote wa Mara (Musoma)

Taarifa: Nipashe ya Radio One Leo.

Na leo mtanikoma hapa Watani zangu.
 
mahakamani atasema hakubaka bali ALIRAPE..
 
Leo mizimu ya mtani imeamka, mweleze huyo muhaya aende kwa mababu zake musoma apitie majita road afike pale mwirangi aogeshwe maji na wazee kuondoa mikosi au mweleze huyo muhaya aende pale kasulu kwa babu zake heru juu akaogeshwe maji ya mtoni kuondoa mikosi akithubutu kwenda maeneo ya kuanzia shelui, misigiri, tumuli au makunda kwa akina fulani au kiomboi au Manyoni ataambulia kulishwa mlenda na ugali usioiva atarudi kwao kamachumu au kiziba akiwa na njaa maana wanyaturu na wanyiramba kula ni ziro labda kwa upopoma wake anavopenda wanawake weupe wamwangalie asibake vijiji vyote.
 
Hawa hawakubakwa walibakana ni vile tu siri ilivuja na wazazi wakashikia bango.
Ila hio ni 3some safi kabisa ilivyotimiza vigezo vyote
 
Najiuliza hivi
1. Wakati anawabaki kwa zamu, wakati wa zamu ya mmoja, wengine wanasubiria?

2. Kwanini aliyekuwa hana zamu wakati huo asikimbie?

Nahisi hawakubakwa ila walitaka 4some
 
Back
Top Bottom