Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Wadau Nawasalimu.
Naomba kupata Ufafanuzi juu ya Utoaji wa Fedha za Serikali kwenda kwenye Miradi ya Serikali.
Kwanini Siku hizi Hatusikii tena kuwa SERIKALI imetoa Sh.kadhaa kwa ajili ya Mradi fulani badala yake ANATAJWA MTU kuwa katoa hizo Fedha Je hizo Fedha ni Zake Binafsi au za SERIKALI? Je kuna Tatizo gani Kusema SERIKALI IMETOA?
Utaratibu wa Kumtaja Mtu kuwa ndio KATOA kwa Jina ulianza AWAMU ya 5 na sasa unaendelea.
Naomba kupata Ufafanuzi juu ya Utoaji wa Fedha za Serikali kwenda kwenye Miradi ya Serikali.
Kwanini Siku hizi Hatusikii tena kuwa SERIKALI imetoa Sh.kadhaa kwa ajili ya Mradi fulani badala yake ANATAJWA MTU kuwa katoa hizo Fedha Je hizo Fedha ni Zake Binafsi au za SERIKALI? Je kuna Tatizo gani Kusema SERIKALI IMETOA?
Utaratibu wa Kumtaja Mtu kuwa ndio KATOA kwa Jina ulianza AWAMU ya 5 na sasa unaendelea.