afadhali mbowe angegombea kidogo ana uwezo wa kujieleza..lakini kumweka slaa hana sera hawezi kujieleza zaidi ya lipua lipua ....hii kali kabisa, only in tanzania
afadhali mbowe angegombea kidogo ana uwezo wa kujieleza..lakini kumweka slaa hana sera hawezi kujieleza zaidi ya lipua lipua ....
Tunataka solutions sio kusema watu....
Na hiii inaonesha wazi ...chadema ni chama cha kikabila cha wachaga ndio maana sijui huyu msomali , huyu mhindi, huyu zito ni mmanyema hatufai , sijui huyu wangwe hatufai, huyu mwarabu , huyu muislam hatufai ....
Sidhani sera hizi za kibaguzi zina mweleka mzuri kwa tanzania..na kwa hilo....inabidi muanze tena...mwaka huu tayari mmekosea.....ubaguzi wowote hauna nafasi katika nchi......
Arfi wa Chadema ana asili ya wapi?
Arfi wa Chadema ana asili ya wapi?
wala usiwe na wasiwasi...
kinana si mwenzetu, ni msomali na hayo mambo ya kumiliki meli ndo kabisaaaaa yanaendana na story fulani... i dont like this guy because he thinks he is everything
Kuna issue siku moja nilikutana nayo alikua anashuka kwenye ndege akataka wote tumpishe ashuke kwanza... bahati nzuri tulikua na vijana wa leo, walimpa za uso na hata akawa depressed
he is a hell of character
lakini kikwete saa ingine hana akili timamu au washauri wake ni wabaya sana
utamwekaje kinana kuwa kampeni manager wake
lakini kikwete saa ingine hana akili timamu au washauri wake ni wabaya sana
utamwekaje kinana kuwa kampeni manager wake
ngoja nilipie kabisaaaa fokoda bundle za kutosha ili nisikose mambo haya maana hawakawii kununua bandle zote tukose kusurf hapa
afadhali mbowe angegombea kidogo ana uwezo wa kujieleza..lakini kumweka slaa hana sera hawezi kujieleza zaidi ya lipua lipua ....
Tunataka solutions sio kusema watu....
Na hiii inaonesha wazi ...chadema ni chama cha kikabila cha wachaga ndio maana sijui huyu msomali , huyu mhindi, huyu zito ni mmanyema hatufai , sijui huyu wangwe hatufai, huyu mwarabu , huyu muislam hatufai ....
Sidhani sera hizi za kibaguzi zina mweleka mzuri kwa tanzania..na kwa hilo....inabidi muanze tena...mwaka huu tayari mmekosea.....ubaguzi wowote hauna nafasi katika nchi......
fanya yooooote lakini epuka kuchimbachimba makabila ya watu. dalili ya ubaguziwakuu please someone tell me Kinana ni kabila gani?
Kama kweli Nyerere alisema hivi basi alikuwa hana akili, yeye ndiye alimuweka Mwinyi madarakani, hakujuwa tangu awali kuwa huyu ni dhaifu? na yeye ndiye aliyemuweka Mkapa hakujuwa kama huyu bwana ni mwizi yeye na mkewe?Na Mwinyi watu tunakumbuka maneno ya Nyerere kuwa huyu bwana ni dhaifu sana kwenye uongozi kwani maamuzi yake hufanya na Mama Sitti Mwinyi wakiwa Kitandani...
wewe unataka kiongozi muadilifu na mwenye kuleta maendeleo au unataka kiongozi mzungumzajiVuvuzela la kichaga linaungurumisha hehehehh...bado kidogo tu nchi inakamatwa nao.Tutafaidi I say!Chaga development movement agencies.