Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Round ya kwanza ya udahili inafungwa August 5, 2021 hadi leo vijana walioitwa JKT kwa mujibu wa sheria wamefungiwa makambini (mf. Mgambo).
Inabidi wengi wajaziwe na ndugu au rafiki zao. Hawana muda wa kujua kwa umakini ni nini kile wanataka na wengine hawapati ushauri wa kutosha. Hii ni hatua muhimu katika maisha ya binadamu.
Hivi JKT wanashindwaje kuwapa siku za kutosha wakakamilishe hili zoezi. Na TCU/ NACTE wako wapi kwenye hili. Tukumbuke matokeo hutolewa vijana wakiwa kambini na mategemeo ya wengi huwa tofauti na hali halisi.
Je, una ushuhuda wowote kuhusu hili?
Inabidi wengi wajaziwe na ndugu au rafiki zao. Hawana muda wa kujua kwa umakini ni nini kile wanataka na wengine hawapati ushauri wa kutosha. Hii ni hatua muhimu katika maisha ya binadamu.
Hivi JKT wanashindwaje kuwapa siku za kutosha wakakamilishe hili zoezi. Na TCU/ NACTE wako wapi kwenye hili. Tukumbuke matokeo hutolewa vijana wakiwa kambini na mategemeo ya wengi huwa tofauti na hali halisi.
Je, una ushuhuda wowote kuhusu hili?