Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 314
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amewasili katika kaunti ya Kilifi kuongoza awamu ya pili ya ufukuaji wa maiti katika shamba la Shakahola. Shughuli hiyo iliyokuwa imesitishwa kwa muda kutokana na mvua kubwa zinazoshudiwa kaunti humo, inaendeshwa na kikosi maalum cha idara ya upelelezi wa jinai DCI.
Mpaka kufikia sasa Jumla ya miili 112 imefukuliwa huku uchunguzi wa awali wa maiti ukionesha kuwa wengi walifariki dunia kwa kunyongwa.
Haya yanajiri huku moja kati ya washukiwa wakuu wa Mchungaji Ezekiel Odero akitarajiwa kuwasilishwa ombi katika Mahakama ya Mombasa, alitaka wamuzi wa awali wa kumfungia akaunti zake za Benki kubatilishwa.
Mpaka kufikia sasa Jumla ya miili 112 imefukuliwa huku uchunguzi wa awali wa maiti ukionesha kuwa wengi walifariki dunia kwa kunyongwa.
Haya yanajiri huku moja kati ya washukiwa wakuu wa Mchungaji Ezekiel Odero akitarajiwa kuwasilishwa ombi katika Mahakama ya Mombasa, alitaka wamuzi wa awali wa kumfungia akaunti zake za Benki kubatilishwa.