Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Mama anafanya kazi nzuri eti wanatka wamweke pia kwenye noteKwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika.
Mama kasafiri nchi 50 kwa miaka mitatu,
DPW imepewa bandari Wananchi walivunja rekodi ya kulalamika kwa miezi tisa.
Inachoweza kwa ufanisi ni AHADI ZA UONGO.Serikali ya Tanzania hivi kweli mmeshindwa ugavi wa sukari?
Mnaweza nini? Uchawa?
MHUUUUUUUU Kwa haya mimi napita tuKwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika.
Mama kasafiri nchi 50 kwa miaka mitatu,
DPW imepewa bandari Wananchi walivunja rekodi ya kulalamika kwa miezi tisa.
Kenya ilianza kupanda raia wakatishia kuinhia mtaani zikashushwa Meli za kutosha.Kwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika.
Mama kasafiri nchi 50 kwa miaka mitatu,
DPW imepewa bandari Wananchi walivunja rekodi ya kulalamika kwa miezi tisa.
NCHI YA UCHUMI WA KATI SUKARI INAPATIKANA KWA FOLENIKwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika.
Mama kasafiri nchi 50 kwa miaka mitatu,
DPW imepewa bandari Wananchi walivunja rekodi ya kulalamika kwa miezi tisa.
Si mlitaka Maza alete mzunguko wa pesa kitaani!? Sasa Maza asipo zunguka Dunia huo mzunguko mngeupataje Shuuubaamit!!??Maza yupo kwenye ndege ana-enjoy sn
Na vazi lake liwe la kitaifa.Mama anafanya kazi nzuri eti wanatka wamweke pia kwenye note
Hapo ndio utakapojua kwa nn wanamsifia pamoja na kwamba maisha ya watu ni magumu kwelikweli,Siku zote wenye nacho tena ni wachache wana lugha yao na kwao hata sukari ikiuzwa Tshs 10000/=hakuna shida pesa ya kuchota wanayo kazi wanayo maskini ambao ndio wengi na ndio wanaoisifu CCM na huwezi kuwaelewa ukiwa na akili timamu.Kwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika.
Mama kasafiri nchi 50 kwa miaka mitatu,
DPW imepewa bandari Wananchi walivunja rekodi ya kulalamika kwa miezi tisa.
Kwa hiyo mzunguko anaufuata nje?Si mlitaka Maza alete mzunguko wa pesa kitaani!? Sasa Maza asipo zunguka Dunia huo mzunguko mngeupataje Shuuubaamit!!??
Ana Bahati Liwale na Nachingwea sukari SHS 7500/=Na Bado.............
Sukari Haikamatiki Na Wafanyabiashara Wanai~Zoom CCM Ya KijaniAna Bahati Liwale na Nachingwea sukari SHS 7500/=