Awamu ya Tano na ujenzi wa Airport Terminal Mwanza, Mkuu wa Mkoa afadhaishwa

Awamu ya Tano na ujenzi wa Airport Terminal Mwanza, Mkuu wa Mkoa afadhaishwa

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594


Kwa mtindo wa Force Account uliofanyika mahali pengi nchini, sasa upigaji mkubwa unadhihirika kwa hata viongozi wa Mikoakuchoshwa.

Siyo rahisi kuyaficha hayo madudu yanayoanza kufichuka kutokana na eti "Kamati za Miradi".

Airport ya Mwanza imejengwa kiholela chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa, na hizondiyo Force Account hizo.
Jengo inasemekana ni madudu matupu, kuanzia michoro iliyotayarishwa na mchoraji aliyepatikana kutoka vichochoroni, kwa nia ya ku draw bulungutu, na walifanikiwa.

Watetezi wa Force Account njooni muitetee.
 
Hapa ama simu ni mpya au umeandaa uzi kwa hasira/furaha kuu.
 
Nina hasira na Force Account mkuu.
Imekunyima kipande chako ulichotarajia; maana kila jambo sikuhizi ni maslahi binafsi tu!

Natumaini utanielewa ipasavyo na si vinginevyo.
Yule waziri karudi, pengine matatizo yanaanzia kwake tena?

Lakini nikubaliane nawe, huo mradi wa Airport hiyo unayo madudu mengi mno.

Pangekuwepo na waandishi wa habari wanaojua na kuheshimu kazi yao barabara, na kulifanyia kazi jambo hilo ingekuwa jambo jema sana.
 
Imekunyima kipande chako ulichotarajia; maana kila jambo sikuhizi ni maslahi binafsi tu!

Natumaini utanielewa ipasavyo na si vinginevyo.
Yule waziri karudi, pengine matatizo yanaanzia kwake tena?

Lakini nikubaliane nawe, huo mradi wa Airport hiyo unayo madudu mengi mno.

Pangekuwepo na waandishi wa habari wanaojua na kuheshimu kazi yao barabara, na kulifanyia kazi jambo hilo ingekuwa jambo jema sana.
Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers) hawana kazi
Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers )wanalipa kodi
Wakandarasi wanaajiri vijana na kupipa PAYEE, NSSF,WCF, FIRE, OSHA na makodi mengi tu.
Kwa taarifa yako Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers) wengi wamefunga ofisi na kuingia shughuli nyngine.
Sasa unaosikia haya madudu ya Force Account, wewe utajisikiaje
 
Kila kitu kinaenda kwa connection siku hizi, hata ajira .

Kwahiyo huyo designer usikute hana weledi na ujuzi ila qna connection moja smart Sana.

Ndiyo maana RC anaishia kubwabwaja tu lkn hana cha kumfanya.

Akimgusa tu yatamkuta ya Kafulila alipowashughulikia waliokula hela za uviko-19.

Mwambieni RC Malima kwamba akiona panya anamtambia paka ajue kuna shimo pembeni.
 
Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers) hawana kazi
Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers )wanalipa kodi
Wakandarasi wanaajiri vijana na kupipa PAYEE, NSSF,WCF, FIRE, OSHA na makodi mengi tu.
Kwa taarifa yako Wakandarasi(na Architects, Quantity Surveyors, Egiineers) wengi wamefunga ofisi na kuingia shughuli nyngine.
Sasa unaosikia haya madudu ya Force Account, wewe utajisikiaje
Niwie radhi mkuu 'Jidu', binafsi siyo mtaalam wa haya mambo, kwa hiyo kusema kweli sina ufahamu na uelewa wa hiyo "Force Account", ni kitu ambacho sikijui kabisa, na wala sijui kinavyowanyima ulaji hao uliowataja hapo.

Sasa, baada ya kuyakiri hayo, bila shaka utakubaliana nami pia kwamba iwepo 'force account' au vinginevyo, kutokana na hali ilivyo serikalini enzi hizi, hata hao uliowataja hapo na wao watakuwa na mchango wao katika kuvuruga taratibu za utendaji serikalini. Siwalaumu wao pekee, la hasha, lakini ndiyo hali tuliyonayo sasa hivi, ya kila "mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake"
 
Niwie radhi mkuu 'Jidu', binafsi siyo mtaalam wa haya mambo, kwa hiyo kusema kweli sina ufahamu na uelewa wa hiyo "Force Account", ni kitu ambacho sikijui kabisa, na wala sijui kinavyowanyima ulaji hao uliowataja hapo.

Sasa, baada ya kuyakiri hayo, bila shaka utakubaliana nami pia kwamba iwepo 'force account' au vinginevyo, kutokana na hali ilivyo serikalini enzi hizi, hata hao uliowataja hapo na wao watakuwa na mchango wao katika kuvuruga taratibu za utendaji serikalini. Siwalaumu wao pekee, la hasha, lakini ndiyo hali tuliyonayo sasa hivi, ya kila "mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake"
Kwa kweli iwepo tamko la serikali juu ya huu ulaji wa watumishi waserikali katika hiyo Force Account.
Hela inaliwa na watu wa serikali halafu tunadanganywa tsisi wananchi eti zimejengwa zahanati/shule elfu na elfu.
 
Back
Top Bottom