Japo wote ni wezi Ila Fuatilia namna hawa wakandarasi wanavyolipwa. Utagundua kuwa adhabu kubwa wanatakiwa wapewe wenye mradi. Mkandarasi amewasaidia tu watendaji kuiba. Unaweza kuta alipewa maelekezo alete certificate ya milion mia mengine awaachie wao, ukikataa malipo yako yanachukua mda kulipwa au unaanza tishiwa kukataa liquidationSasa wote hao ni wezi na wanashughulikiwa kwa pamoja all in all mkandarasi ni mshitakiwa nambari moja. Sasa unasemaje wakandarasi kama hao wanaonewa?
Matatizo makubwa zaidi ni kwako kushindwa kusimamia mikataba na udhaifu wako kutupia mtu uliyemuajiri.Wewe utakuwa na matatizo makubwa kwenye akili zako!
Mkuu waelewa sekta ya ujenzi ni wachache sana.Anachojaribu kukueleza ni kwamba, inawezekana vp mkandarasi alipwe milioni 100 ilihali analipwa baada ya kuissue certificate? Sasa upande wa serikali ulikuwa wapi hadi mtu anaissue certificate ya m100 kwa kazi ya m4? Ww unaona ni sawa?
Aisee boss' embu fuatilia mfumo wa Malipo ya ukandarasi ulivyo Tanzania.Mbona hawalalamiki? Pia mbona wa nje kama wachina wanafanya vizuri tu. Tatizo la wazawa walizoea kuiba tu. Wabadilike sasa hii ni awamu ya tano.
Acha usanii, hao "washauri na wasimamizi" wa mikataba wajibu wao kama ajira ni upi?Mkuu pole sana naona wewe ni mwasirika. Nakushauri ubadirike uache mazoea. Waziri siyo lazima awe amesomea field anayoiongoza kwa kuwa chini yake kuna wataalam wanaomshauri. Kwa nini wakandarasi wa nje kama wachina hawababaishi? Nyinyi watz mnamatatizo sana mlizoea kula pesa zetu bila kukamilisha miradi
Mkuu' ndo maana nakwambia fuatilia mfumo wetu ulivyo siyo useme tu mbona hawalalamiki. Fuatilia mfumo ulivyo ndo utoe comment maana kwa namna unavyozungumza ni dhahiri una general knowledge ya mfumo mzima wa kazi za ukandarasi zilivyo Tz.Mbona hawalalamiki? Na juzi tu walikuwa na mkutano wao Dodoma na walimwalika Rais. Hakuna malalamiko kuwa hawalipwe pesa zao baada ya ku submit certificate za kazi. Ninachojua wapo wakandarasi walizoea kulipwa pesa bila ku submit certificate za kazi sasa awamu hii kama huja submit certificate ya kazi huwezi kulipwa. Pesa za mradi ambazo mkandarasi hulipwa mwanzo ni mobilizing funds tu zinazobaki lazima ukamirishe kazi kwanza kama mradi unavyotaka.
Walizoe kuiba sanaaa. Tena haya majamaa huwa yabaoiga pesa ndefu kuanzimi mili 50 hadi bilion.Katika utawala wa Awamu ya Tano, kwa makandarasi mambo ni magumu sana.
Ukandarasi maana yake ni kufanya kazi kwa ajili ya mtu mwingine (sasa ni serikali), kimkataba.
Makandarasi ni kada iliyoenea nchi nzima, na kada hii imetumika sana katika kampeni Awamu ya Nne ili kuiingiza Awamu ya Tano madarakani.
Sasa hivi siyo siri makandarasi wanadhalilika na kudharauliwa.
Umoja wa makandarasi ulitoa masikitiko hivi karibuni juu ya mtizamo hasi unaoonyeshwa na viongozi wa Awamu ya Tano lakini muda mfupi baadaye tukaona ya Jaffo.
Waswahili walisema tenda wema usingojee shukrani na kwa makandarasi wajijue kuwa akili ni mukichwani mwao.
Mkuu tumieni akili kidogo.Walizoe kuiba sanaaa. Tena haya majamaa huwa yabaoiga pesa ndefu kuanzimi mili 50 hadi bilion.
Kuna mmoja mbarawa alionyesha jengo la dharura la 100mil. Kubabeki hata milioni tatu unalijenga hilo jengo tena kijijini
Sasa watu kama hao unataka kusema wanaonewa wakati ni wapigani na walikuwa hawafuatiliwi
Unasahau kuwa mjinga zaidi ni yule asiyemlipa mkandarasi in time na hatoi usimamizi wa miradi mpaka waziri aje site.kweli boss tuwatetee..
Kutomalizia kazi na kutokamilisha mikataba ni mambo ya kawaida kabisa na tulishayazoea.
Hii awamu ya kipumbavu inataka watu wawe pefect hata mimi siipendi..
Kuwa mpinzani raha sana.. una haki ya kutetea hata uovu na ujinga Jidu La Mabambasi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasahau kuwa mjinga zaidi ni yule asiyemlipa mkandarasi in time na hatoi usimamizi wa miradi mpaka waziri aje site.
Hilo mnalifahamu vizuri.
Hata ukimlipa baada ya mwaka unakuwa umejivua lawama maana wewe ni malaika hukosei.wakandarasi wote wanaolalamikiwa huwa wanakili kulipwa pesa zao...
Usijaribu kutengeneza scenario kutetea ujinga
Aliyezimia kw Jafo full paid....
Wote fully paid..... Ndani ya mkataba na muda sahihi...
Hata akiyeandika hiyo thread hakuongelea malipo koz he knows hayajawahi kuwa na shida...
Nisisi bavichaa tuzidi kujitoa fahamu kutetea ujinga...
Sent using Jamii Forums mobile app
Jidu La Mabambasi, Yule alijenga banda la kuku kwa mil 100 alikuwa ana mdharau nani !?
Sent using Jamii Forums mobile app
We we mzoefu ,Mimi ni mzoefu pia , art of pricing hapo ,waangalie kila item ,utakut zingine under priced he wataongeza bei keenye under priced?......ya wakandarasi tuwaachie waliotoa kazi.....ukandarasi sio kazi lelemama , unaweza pata preshKwanza elewa hakupewa 100m kujenga banda. Alilipwa kama malipo ya temporary site office.
Kama ali overprice/ front load na katika evaluation process ikaonekana hakuna tatitzo basi wakulaumiwa ni watu wa evaluation.
Pia temporary items uwa zinakuwa priced kutokana na specifications hivyo usishangae kukuta jamaa kajenga over specifications.
Kwenye issue ya 100m kwa lile banda wangelipitia na items zingine wangeliweza kuta kuna baadhi ya kazi kaweka bei ndogo sana kuzidi hata ya Mchina. Hiyo tunaita the art of pricing na evaluation team ndiyo ilitakiwa iangalie tatizo.
Kumkamata mkabdarasi hakuta zuia asilipwe hiyo pesa. Anaweza Subira this terms ikapita then akarudi kudai pesa yake with interest na akalipwa.
Issues za contracts zinatakiwa zimalizwe ndani ya terms za Contractor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes tunawashangaa viongozi wetu kwakudhani practically technicalities ni jambo la jinai. Mfano Issue ya banda la temporary site office na pccb. Hapo nikuwafanya pccb wapoteze muda kuchunguza kwa jambo ambalo mwisho wa siku serikali itatakiwa kulipa tu.We we mzoefu ,Mimi ni mzoefu pia , art of pricing hapo ,waangalie kila item ,utakut zingine under priced he wataongeza bei keenye under priced?......ya wakandarasi tuwaachie waliotoa kazi.....ukandarasi sio kazi lelemama , unaweza pata presh
Mkuu hiyo elimu ya front loading watu kama profesa Mbarawa hawana uwezo kuielewa, sembuse watu baki!Kwanza elewa hakupewa 100m kujenga banda. Alilipwa kama malipo ya temporary site office.
Kama ali overprice/ front load na katika evaluation process ikaonekana hakuna tatitzo basi wakulaumiwa ni watu wa evaluation.
Pia temporary items uwa zinakuwa priced kutokana na specifications hivyo usishangae kukuta jamaa kajenga over specifications.
Kwenye issue ya 100m kwa lile banda wangelipitia na items zingine wangeliweza kuta kuna baadhi ya kazi kaweka bei ndogo sana kuzidi hata ya Mchina. Hiyo tunaita the art of pricing na evaluation team ndiyo ilitakiwa iangalie tatizo.
Kumkamata mkabdarasi hakuta zuia asilipwe hiyo pesa. Anaweza Subira this terms ikapita then akarudi kudai pesa yake with interest na akalipwa.
Issues za contracts zinatakiwa zimalizwe ndani ya terms za Contractor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu. Tena wanafikiri ni criminal offenceMkuu hiyo elimu ya front loading watu kama profesa Mbarawa hawana uwezo kuielewa, sembuse watu baki!
Kila aliyejenga kibanda chake hivi sasa ati ansujua ukandarasi.
Hata ukimlipa baada ya mwaka unakuwa umejivua lawama maana wewe ni malaika hukosei.
Mambo ni magumu kweli kweli.